*_Mhe Lembeli amerudi chama cha CCM hivi mchana wa leo katika mkutano mkubwa wa Mhe Mwenyekiti wa CCM na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli… Huko mjini Kahama. Anasema haoni sababu ya kwenda na “..safari ya uhakika isiyo na uhakika… kule hamna kitu.”_*
Sunday, 31 July 2016
Home »
Habari Moto
» #BREAKING NEWS>>>>JAMES LEMBELI ARUDI CCM KUTOKA CHADEMA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
#BREAKING NEWS>>>>JAMES LEMBELI ARUDI CCM KUTOKA CHADEMA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>Vigogo TRA Wakutwa na Mamilioni Nyumbani Kwao.Fahamu zaidi hapa. Siku chache baada ya kigogo mmoja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kubainika kumiliki nyumba 73, wafanyakazi wengine wa mamlaka hiyo wamekutwa na mamilioni ya shilingi waliyoficha majumbani mwao. Taarifa … Read More
#YALIYOJIRI>>>Afisa Ardhi Morogoro Kapewa Siku 14 Za Kujieleza Kwa Nini Asifukuzwe Kazi.Fahamu zaidi hapa. Katibu mkuu ofisi ya Waziri mkuu (TAMISEMI) Jumanne Sagini ametoa siku 14 kwa afisa ardhi, mhandisi wa majengo na Afisa mipango miji manispaa ya Morogoro kuandika maelezo ya kwanini wasifukuzwe kazi kutokana na kufanya… Read More
#Hivi Punde>>>>Rais Dkt. Magufuli atoa siku saba kwa wafanyabiashara wakwepa kodi.Fahamu zaidi hapa. Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amewapa siku saba kuanzia tarehe 03/12/2015 wafanyabiashara wote ambao waliingiza mizigo yao bila kulipa kodi wakalipe kwani baada ya hapo watachu… Read More
#YALIYOJIRI>>>Watu wawili akiwemo mwanasheria na mwalimu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kula njama za kumuua Mwenyekiti wa NEC Jaji Lubuva.Fahamu zaidi hapa. WATU wawili wakiwemo Mwanasheria na Mwalimu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama za kumuua Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),… Read More
#Bad News>>Kituo cha redio cha Hits FM, Zanzibar chavamiwa na kuchomwa moto.Fahamu zaidi hapa. Studeo ya Hits kabla ya kuungua na baada ya kuungua kama inavyoonekana pichani. Naibu kamishina wa pilisi Visiwani humo Salim Msangi ameiyambia Redio One kuwa tukio hilo lilitokea saa 7 na dakika 40 Usiku. Watu hao… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment