Home »
Habari Moto
» #HIVI PUNDE>>>>>MAMBO YAANZA DODOMA HIVI NDIVYO KHALI ILIVYO KWA SASA MITAA YA DODOMA.Fahamu zaidi hapa.
Zikiwa zimesalia siku nne kabla Rais John Magufuli kuchaguliwa na
Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi kuwa Mwenyekiti wa chama hicho,
mjini wa Dodoma umeendelea kupambwa bendera za chama hicho katika maeneo
mbalimbali.
Zaidi ya vijana 70 wa CCM wamefanya kazi ya kuzunguka maeneo
mbalimbali ya mji huo wakipamba kwa kuweka bendera mitaa na baadhi ya
vyombo vya usafiri ikiwemo magari, bajaji, pikipiki hadi kwa
wafanyabiasha ambao ni wapenzi wa chama hicho.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>>NCCR wamtimua makamu Mwenyekiti wa Chama.Fahamu zaidi hapa.
Chama
cha NCCR – Mageuzi kimemvua uanachama makamu mwenyekiti wake (Bara),
Leticia Ghati (pichani) kikimtuhumu kujihusisha na migogoro ndani ya
chama na tuhuma nyingine za kijinai.
Mwenyekiti
wa chama hicho, … Read More
#YALIYOJIRI>>>>Vigogo Ofisi ya Waziri Mkuu kortini kwa wizi.Fahamu zaidi hapa.
MAOFISA
Ugavi wanne wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kitengo cha Maafa), wamepandishwa
kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa
madai ya kuiba mali za ofisi hiyo zenye thamani ya Sh milioni 100.… Read More
#Breaking News>>>>Orodha ya wanachuo wanaorudi kusoma stashahada maalum ya ualimu UDOM.
==> Kuona Majina ya Waliohamishiwa Vyuo vingine << BOFYA HAPA>>
==> Kuona majina ya ambao hawajakidhi vigezo vya kurudishwa << BOFYA HAPA>>
Majina ya wanachuo walio… Read More
#YALIYOJIRI>>>Lowassa Ataka Mbowe alindwe kama nyuki wanavyomlinda malkia wao.Fahamu zaidi hapa.
ALIYEKUWA
mgombea urais kupitia mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa),
Edward Lowassa amewataka vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema) kumlinda Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kama nyuk… Read More
Jiunge nasi kwenye Crowdrising. Ni mfumo wa kieletroniki wa kuchangiana member to member. No admin, No one manage the funds. Money will go directly to your account. Utachangia Tsh 20,000 na utapata 100,000 ukiwa Grade 1, Grade 2 utachangia Tsh40,000 na utapata Tsh 1,000,000, Grade 3 utachangia Tsh 100,000 na utapata 12,500,000 na ukifika Grade 15 utapata zaidi ya Trilioni 40. Kijana unasubiri nini? Changamkia fursa hii... Kwa maelezo zaidi njoo whatsapp 0754975171
… Read More
0 comments:
Post a Comment