Wednesday 20 July 2016

RATIBA YA VPL 2016/17 HADHARANI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI?........Fahamu zaidi hapa.

Baada ya tuzo kutolewa kwa wachezaji, vilabu pamoja na makocha waliofanya vizuri kwenye msimu wa ligi kuu ya soka Tanzania bara kutoka, tayari bodi ya ligi imetoa ratiba kwa ajili ya msimu ujao wa ligi (2016/17)

Ratiba hiyo inaonesha ligi kuu Tanznia bara itaanza kuchezwa August 20, 2016, kutaka kujua timu yako itaanza na wapinzani gani, angalia ratiba hapa chini.

0 comments:

Post a Comment