Home »
Michezo
» RATIBA YA VPL 2016/17 HADHARANI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI?........Fahamu zaidi hapa.
Baada ya tuzo kutolewa kwa wachezaji, vilabu pamoja na makocha
waliofanya vizuri kwenye msimu wa ligi kuu ya soka Tanzania bara kutoka,
tayari bodi ya ligi imetoa ratiba kwa ajili ya msimu ujao wa ligi
(2016/17)
Ratiba hiyo inaonesha ligi kuu Tanznia bara itaanza kuchezwa August
20, 2016, kutaka kujua timu yako itaanza na wapinzani gani, angalia
ratiba hapa chini.
Related Posts:
#MICHEZO>>>MAJIMAJI YAPOKELEWA KIFALME DAR, YAFANYA MAZOEZI GYMKHANA, YAMREJESHA KALI ONGALA, AIMALIZE SIMBA.FAHAM ZAIDI HAPA.
ONGALA
Majimaji ya Songea wako jijini Dar es Salaam, tayari kuivaa Simba Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa.
Pamoja na kuonekana kusua katika mechi zote za mwanzo, Majimaji wanaonekana wamepania kuifunga Si… Read More
#MICHEZO>>>>KINA DADA WABABE KULIKO WOTE KATIKA SOKA AFRIKA MASHARIKI NA KATI WALIVYOTUA NYUMBANI DAR.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kikosi
cha Kilimanjaro Queens kimewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
wa Julius Nyerere (JNIA) na kupokelewa na mashabiki na wadau mbalimbali
wa soka nchini.
Mashabiki
hao walijitokeza kwa ajili ya Kilima… Read More
#MICHEZO>>>>KADI ZA TIKETI ZA ELEKTRONIKI KUTOLEWA BUREEE KABISA, WAZIRI NAPE ALIZUNGUMZIA ZOEZI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kadi za kilektroniki kwa ajili ya kuingia uwanjani zitakuwa zikitolewa bure.
Hii
ni ni baada ya ya hivi karibuni serikali kufunga mashine za
kielektroniki katika Uwanja wa Taifa, kadi kwa ajili ya kuingilia
uwanj… Read More
#MICHEZO>>>>MADRID WAKIJIANDAA NA MANYAMBIZI HAWA HAPA NDANI YA CIUDAD MADRID.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Real
Madrid ambao wamekuwa na mwanzo wa asilimia 100 katika mechi zao nne za
mwanzo za La Liga, sasa wanajiandaa dhidi ya Manyambizi, Villarreal.
Mechi itapigwa Jumatano, Madrid wakiwa ugenini na wanaonekana wan… Read More
#MICHEZO>>>HONGERA KILIMANJARO QUEENS KWA KOMBE LA CHALENJI, LAKINI PONGEZI KWENU ZISIISHE NA KUUSAHAU MSINGI WENU.FAHAMU ZAIDI HAPA.
KIKOSI
cha timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens,
kimebeba kombe la Chalenji kwa mara ya kwanza na kuweka rekodi.
Timu
ya taifa ya Tanzania Bara kwa wanawake imewachapa Wakenya kwa maab… Read More
0 comments:
Post a Comment