Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>TOP 10 YA WACHEZAJI WALIONUNULIWA KWA MKWANJA MREFU ZAIDI HADI SASA.Fahamu zaidi hapa.
Usajili wa Hulk kutoka Zenit St Petersburg kwenda Shanghai SIPG ndiyo
usajili ghari zaidi hadi sasa katika dirisha hili la usajili.
Lakini huenda sajili za Pogba na Morata kwenda Manchester United na
Chelsea ambazo zinatajwa kugharimu kitita cha £105million na £
50miliion, usajili wa Hulk hautabaki kuwa ghari katika orodha hii.
Hizi ndiyo sajili 10 ghari zaidi hadi sasa:
10. Miralem Pjanic – kutoka Roma kwenda Juventus
Kiasi: £25.4m
9. Henrikh Mkhitaryan – kutoka Borussia Dortmund kwenda Manchester United
Kiasi: £26.3m
8. Renato Sanches – kutoka Benfica kwenda Bayern Munich
Kiasi: £27.5m
7. Eric Bailly – kutoka Villarreal kwenda Manchester United
Kiasi: £30m
6. Mats Hummels – kutoka Borussia Dortmund kwenda Bayern Munich
Kiasi: £31.5m
5. N’Golo Kante – kutoka Leicester kwenda Chelsea
Kiasi: £30m
4. Michy Batshuayi – kutoka Marseille kwenda Chelsea
Kiasi: £33.2m
3. Granit Xhaka – kutoka Borussia Monchengladbach kwenda Arsenal
Kiasi: £34m
2. Sadio Mane – kutoka Southampton kwenda Liverpool
Kiasi: £36m
1. Hulk – kutoka Zenit kwenda Shanghai SIPG
Kiasi: £46.1m
Related Posts:
#MICHEZO>>>AZAM WAKUBALI YAISHE, KUKOMAA NA KOMBE LA FA.Fahamu zaidi hapa.
SIKU moja baada ya
Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) kuipokonya pointi tatu timu ya
Azam kwa kosa la kumchezesha beki wao Erasto Nyoni aliyekuwa na kadi
tatu za njano, Uongozi wa timu hiyo umelijia juu shir… Read More
#MICHEZO>>>Harry Kane wa Tottenham Hotspurs donge nono lamtembelea.Fahamu zaidi hapa.
Mshambuliaji
raia wa Uingereza Harry Kane 22,huenda akazawadiwa kwa mkataba mnono na
klabu yake ya Tottenham Hotspurs kutokana na msimu mzuri.Mshambuliaji
uyo anaelipwa paundi 50,000 kwa wiki atalipwa mara mbili ya msha… Read More
#MICHEZO>>>WAAMUZI KUTOKA GHANA KUAMUA MECHI YA YANGA CAF.Fahamu zaidi hapa.
MWANDISHI WETU
Mwamuzi Joseph Odartei Lamptey,
Jumamosi Mei 7, 2016 anatarajiwa kuwa mwamzi wa kati katika mchezo wa
kimataifa kuwania Kombe la Shirikisho Barani Afrika utakaozikutanisha
timu za Young Africans ya Dar… Read More
#MICHEZO>>>>FIFA YAILIMA FAINI SIMBA, YAPANGA KUISHUSHA DARAJA.Fahamu zaidi hapa.
SHIRIKISHO la Soka la
Kimataifa (FIFA), limeipiga faini ya Franc 2,000 za Uswisi (Sh
4,582,000), Klabu ya Simba baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kupuuza
maagizo ya Idara ya Utatuzi wa Migogoro (Desputes Resolution Cha… Read More
#MICHEZO>>>SAMATTA AREJEA UWANJANI GENK IKIZIDI KUTISHA LIGI KUU UBELGIJI.Fahamu zaidi hapa.
KIKOSI cha KRC Genk
anachochezea nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta leo
kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Zulte-Waregem kwenye mchezo
wa ligi kuu nchini Ubelgiji.
Genk walipata bao la
kwanz… Read More
0 comments:
Post a Comment