Monday, 31 August 2015

#YALIYOJIRI>>BANK OF AFRIKA TANZANIA YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 210 KUSAIDIA MATIBABU YA WATOTO WANAOZALIWA NA MIGUU ILIYOPINDA.Fahamu zaidi hapa.

 Mkurugenzi Mkuu wa Bank of Africa nchini Bw. Ammishadai Owusu-Amoah akimkabidhi Ofisa Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT mfano wa hundi wenye ya dola za kimarekani 100,000 kwa ajili ya matibabu ya watoto wanaozaliwa na miguu iliyopinda. Nyuma ni Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mhe. Ali Hassani Mwinyi na Mwenyekiti wa Bodi ya Bank of Afrika Mwanaidi Majaar.  Balozi...

#YALIYOJIRI>>RAIS KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA KIMBAU MAFIA.Fahamu zaidi hapa.

 Baadhi ya wanajeshi wakiwa wamebeba jeneza la Marehemu Kanali Mstaafu Ayub Kimbau aliyewahi kuwa mbunge wa Mafia wakati wa Mazishi yake huko Kilwa leo jioni.  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia Kanali Mstaafu Marehemu Ayub Kimbau huko Mafia leo jioni.  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,mkuu...

#YALIYOJIRI>>>DC PAUL MAKONDA AZINDUA VITABU VYA MWL.LILIAN NDEGI.Fahamu hapa.

 Mh.Paul Makonda akizindua vitabu   Mh.Paul Makonda alipokuwa akionesha vitabu baada ya kuzindua  Apostle Ndegi akimlisha keki Mwl Lilian Ndegi ambaye ni mke wake ikiwa ni ishara ya kupongezana. Mkuu wa Wilaya Kinondoni Mh.Paul Makonda alipokuwa akizungumza baada ya kuzindua vitabu....

TANGAZO KWA UMMA:JESHI LA POLISI TANZANIA LINAWAITA KWENYE USAILI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI                                                     JESHI...

#YALIYOJIRI>>>Zantel yaingia ubia na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa huduma za kibenki kupitia simu za mkononi.Fahamu zaidi hapa.

 Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya Benki yako Kiganjani ya Zantel pamoja na benki ya PBZ. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose, akifuatiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Salmin Senga, na mwisho kulia ni Mkurugenzi wa benki ya PBZ, Juma Mohammed.  ...

#YALIYOJIRI>>>HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. MAKAME M. MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA WAANDISHI WA HABARI YA KUTANGAZA RASMI KUANZA KUTUMIKA KWA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO NA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI ZA MWAKA 2015 KWENYE UKUMBI WA MIKUTANO WA WIZARA TAREHE 31 AGOSTI, 2015.Fahamu zaidi hapa.

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (Mb), akiongea na waandishi wa habari kuhusu kuanza kutumika rasmi kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao na ya Miamala ya Kieletroniki za mwaka 2015. Anayeangalia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana John Mngodo. Hawa ni waandishi wa habari wakati wa mkutano na wahandishi wa habari kuusu...

Nimekuekea katuni Mtuwangu hapa.

...

Download nyimbo ya Mr.Blue-Baki na Mimi hapa.

...

Download nyimbo mpya ya Yamoto Band - Cheza Kwa Madoido hapa.

...

Angalia Video mpya ya Yamoto Band - Cheza Kwa Madoido.

...

#Breaking News>>>Njombe yavunja lekodi Mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia UKAWA Edward Lowassa hii leo.Fahamu Zaidi hapa.

Walisema hatuna ilani, lakini tunayo ilani bora inayotekelezeka" Edward lowassa akiwa Makambako. Mgombe Urais wa UKAWA, Mhe. Edward Lowassa akimnadi Mgombe Ubunge Jimbo la Makambako, Mhema Oraph. Uwanja wa Polisi Waziri Mkuu Mstaafu,FredrickSumaye akiongea jambo na Mgombea Urais UKAWA EdwardLowassa leo Njombe. "Sheria mpya ya mitandao inaanza kesho,...