Wednesday, 31 May 2017

DAR: Yericko Nyerere Akamatwa Akiwa Nyumbani Kwake. Wachukua Simu na Laptop.

Watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi kitengo cha cyber crime! Wamefika mda huu majira ya saa 7:04 usiku, Kwa Yericko Nyerere wakiambatana na mwenyekiti Wa mtaa (Mbutu), walipofika wamemchukua yeye pamoja na vifaa vyake ikiwemo simu na laptop yake na kuondoka naye kuelekea kituo cha police kigamboni wakimtuhumu kuhusika na kosa la kimtandao.(ingawa hawakueleza kosa...

PICHA: Matajiri Walivyomiminika na Magari ya Bei Mbaya kumzika Ivan wa Zari.

UGANDA: WAKATI watu wengi walikuwa wakiomboleza kifo cha Ivan Semwanga, matajiri wakubwa na watu maarufu katika jiji la Kampala, waliitumia fursa hiyo kujitokeza na kuonyesha magari yao ya bei mbaya. Wakati ibada ya mazishi ya Ssemwanga iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Paul la Namirembe mchana huu, matajiri wengi walijitokeza katika msururu mrefu ambao ulisababisha...

#Breaking News>>>>Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia.

Mbunge wa zamani wa Moshi Mjini (Chadema) Philemon Ndesamburo amefariki dunia ghafla leo, wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Moshi.   Katibu wa Chadema, Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amethibitisha kifo hicho na kueleza kuwa wataendelea kutoa taarifa zaidi juu ya kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe.   Taarifa zaidi kuhusu kifo...

Radio EFM Yaongoza kwa kusikilizwa Jijini Dar.

Radio mpya hapa jijini yenye miaka miwili tu tangu ianze shughuli zake imekuwa tishio kwa Radio za hapa nchini.Radio EFM imetokea kupendwa sana kutokana na mpangilio mzuri wa vipindi vyao huku ukinogeshwa na burudani za kila aina.Kipindi cha michezo cha Sport HQ kifanyikacho asubuhi kimekuwa kivutio kikubwa kwa watu wengi hasa kutokana na Radio nyingi mda wa asubuhi...

Imefichukaaa..Hii Hapa Sababu Kubwa Nyuma ya Pazia ka Nini Diamond Hakuhudhuria Mazishi ya Ivan Jana.

Baada ya Diamond Platnumz kutangaza kwamba angehudhuria mazishi ya aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga, ameshindwa kuhudhuria mazishi hayo yanayofanyika jioni hii katika makaburi ya ukoo wa marehemu yaliyoko Kayunga, nchini Uganda. Muimbaji huyo  weekend hii alishambuliwa na mashabiki wake katika mitandao ya kijamii kutokana na kitendo chake cha kufanya show...

#Breaking News>>>IGP Simon Sirro Kaongea na Waandishi wa Habari kwa Mara ya Kwanza na Kutangaza Dau la Milioni 10.

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro kwa mara ya kwanza amefanya mazungumzo maalum na wanahabari jijini Dar es Salaam na kutangaza dau nono la Sh10 milioni kwa atakayetoa taarifa kuhusu mauaji ya Kibiti, Rufiji na Mkuranga.  “Niwaambie ukweli kuwa katika hili, maneno yatakuwa machache lakini vitendo vitakuwa vingi zaidi,” amesema katika mkutano huo.Pia...

Monday, 29 May 2017

Mwigulu Nchemba Awachongea Andrew Chenge na Warema kwa Kuhusika na Kusaini Mikataba Mibovu ya Madini..

Waziri   wa Mambo ya Ndani, Mwingulu Nchemba amewachana  wanasheria wakuu wa Serikali wastaafu kwa kuwataka waeleze hadharani maslahi walionayo kwenye kampuni za madini zinazosafirisha mchanga nje ya nchi. Wanasheria hao wakuu wa serikali wastaafu, ni Andrew Chenge na Jaji Frederick Werema na amewataka wamwache  Rais John Magufuli aendelee kulinda...

Harmorapa Atangaza Kujiunga na Freemason,Asambaza Picha Akiwa na!!..

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

Kimenuka..Nape Nnauye Awaponda Wabunge wa CCM Wanaosifia Kila Kitu.

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amefunguka na kusema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi ambao wanaishauri na kuikosoa serikali ni watu ambao wana mapenzi mema na Rais na serikali yake kuliko wanao sifia kila kitu. Nape Nnauye amedai wabunge ambao kazi yao ni kusifia kila kitu hata kama kuna mapungufu hao hawana mapenzi ya kweli kwa Rais Magufuli na serikali kiujumla na kudai...

Baada ya Kutumbuliwa Kwa Mara ya Pili..Profesa Muhongo Ashauriwa Kurudi Shule.

MCHAMBUZI wa masuala ya siasa amemshauri aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini mpaka katikati ya wiki iliyopita, Profesa Sospeter Muhongo kuacha siasa na kurudi chuoni kufundisha elimu ya giologia baada ya kupata 'ajali' mbili za kisiasa ndani ya miaka miwili. Profesa Muhongo alifukuzwa kazi na Rais John Magufuli Jumatano, ikiwa ni miezi 28 kamili tangu ajiuzulu nafasi...

Picha: Mwili wa Ivan Ssemwanga ulivyowasili Uganda.

Hatimaye mwili wa tajiri Ivan Ssemwanga aliyefariki wiki iliyopita nchini Afrika Kusini kutokana na ugonjwa wa moyo umewasili Jumapili hii nchini Uganda kwa ajili ya kufanyiwa mazishi. Mwili hu uliwasili majira ya mchana katika gari aina ya A-Plus Mercedes-Benz wakitokea katika uwanja wa ndege huku magari mengi ya kifahari yakiongozana na msafara huo. Zari ambaye alizaa...

Korea Kaskazini Yarusha Kombora Kuelekea Japan.

Korea Kaskazini imerusha kombora la masafa mafupi, ambalo ni la tatu kurushwa na taifa hilo katika kipindi cha wiki tatu. Kombora hilo aina ya Scud lilipaa umbali wa kilomita 450 (maili 280) kabla ya kuanguka katika maeneo ya bahari ya Japan, hatua iliyoifanya Japan kulalamika vikali. Wachambuzi wanasema jaribio hilo ni ishara kwamba Korea Kaskazini inapiga hatua...

Hali ya Mchezaji wa Simba Jonas Mkude Baada ya Kupata Ajali iliyoua Shabiki wa Simba .

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude anaendelea vizuri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ambako amefanyiwa vipimo na kupata matibabu kwa ujumla. Mkude alikuwa kati ya watu sita waliopata ajali iliyotokea jana na shabiki mmoja wa Simba, Shose Fidelis amepoteza maisha. Ajali hiyo ilitokea siku moja tu baada ya Mkude kuingoza Simba kubeba ubingwa wa...

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Siku ya Leo.

Bonyeza Links Zifuatazo Kusoma na Kuapply: 6 Jobs at TANROADS, Application Deadline 09th June, 2017 8 Jobs Songea Urban Water Supply and Sanitation Authority (SOUWASA) 4 Jobs at Hubert Kairuki Memorial University (HKMU), Application Deadline 15 June 2017 Job Opportunity at Radar Recruitment, Development Coordinator Job Opportunity at CVPeople Africa, Junior Telephone...

Kamanda Sirro Aapishwa Rasmi Kuwa IGP.

Tazama moja kwa moja kutoka Iluku muda huu, leo Mei, 29, 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha rasmi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), kufuatia uteuzi wake uliofanyika jana Mei 28, 2017. Kabla ya uteuzi huo, Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam. Bofya hapa kutazama Download...

Sunday, 28 May 2017

Abdi Banda Awaaga Mashabiki na Wapenzi wa Simba..Adai Ataikumbuka Simba Daima.

Beki wa timu ya Simba SC Abdi Banda ameaga rasmi jana baada ya timu yake kushinda Kombe la Shirikisho kwa kuipiga bao 2 kwa moja Mbao FC katika mchezo uliofanyika mjini Dodoma  Abdi Banda anasema imefika wakati sasa anapaswa kutafuta maisha mengine nje ya klabu hiyo au sehemu nyingine huku akisema atakumbuka mambo mengi mazuri katika klabu hiyo  "Ahsante...

Samatta Apiga Bao, KRC Genk ikishinda 3 - 0.

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta usiku wa jana amefunga bao la tatu timu yake, KRC Genk ikishinda 3-0 ugenini dhidi ya Sint-Truiden Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk, Ubelgiji kwenye mchezo wa Kundi B kuwania tiketi ya kucheza michuano ya UEFA Europa League mwakani. Hilo linakuwa bao lake la 20 Samatta katika mechi 59 tangu ajiunge na Genk...

Askofu Gwajima Afunguka Mazito Sakata la Madini Katika Mchanga.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amefunguka na kusema Watanzania tumerogwa kwani tuna kila kitu ambacho kinaweza kutufanya kuwa mbele kimaendeleo lakini siku zote tumekuwa nyuma.   Mchungaji Gwajima amesema hayo leo wakati akitoa mahubiri yake kwenye kanisa lake na kusema Watanzania wamerogwa kwani wanapenda sana maandamano na vitu visivyo...

Pichazzz Hivi Ndivyo David Beckham Alivyotua Bongo Kimya Kimya.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

#BREAKING NEWS>>KIUNGO WA SIMBA JONAS MKUDE APATA AJALI MBAYA YA GARI AKITOKEA DODOMA.

Kiungo wa Simba,Jonas Mkude amepata ajali mbaya maeneo ya Mitibora,Dumila mkoani Morogoro akiwa njiani kurejea Dar es Salaam kuiwahi Taifa Stars. Taarifa za awali zinasema ameumia maeneo ya shingoni, amekimbizwa kwenye hospitali ya mkoa wa Morogoro pamoja na majeruhi wenzie ambao baadhi wana hali mbaya.  Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye...

Saturday, 27 May 2017

Diamond Amfariji Zari Kufuatia Msiba Mzito Alioupata.

Diamond Platnumz ametuma ujumbe wa kumfariji mama watoto wake wake, Zari, kufutia msiba mzito wa Ivan ambaye ni baba watoto watatu wa Zari. Diamond akiwa na Zari pamoja na watoto wa marehemu, Ivan. Picha hii ni yazamani Kumekuwa na mengi yanazungumzwa kwenye mitandaoni ya kijamii kuhusu Zari, Ivan na Diamond Platnumz na mengine yamepelekea kuwakera baadhi ya mashabiki...

Download wimbo mpya wa HaMaKaNTa unaoitwa "NIPO TAYARI".

Download wimbo mpya wa HaMaKaNTa - "NIPO TAYARI". Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

New Video HaMaKaNTa unaoitwa "NIPO TAYARI".

New Video MaKaNTa -NIPO TAYARI. Download wimbo mpya wa HaMaKaNTa -NIPO TAYARI. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...

#Breaking News>>>Majina ya Waliochagulia na Serikali Don Bosco Oysterbay yako hapa.

SELECTED APPLICANTS FOR THE GOVERNMENT COURSES  SELECTED APPLICANTS FOR THE GOVERNMENT COURSES Electrical: 80 Welding :55 Carpentry : 55 Motor Vehicle Mechanics : 50 Mechanics : 80 Tailoring : 240 Computer ( Tehama) : 170 Total : 730  SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN COMPUTER AT OYSTERBAY NO NAME SEX DEPARTMENT REMARK 1 PENINA MASINGILI F COMPUTER DAR...