
Watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi kitengo cha cyber crime! Wamefika
mda huu majira ya saa 7:04 usiku, Kwa Yericko Nyerere wakiambatana na
mwenyekiti Wa mtaa (Mbutu), walipofika wamemchukua yeye pamoja na vifaa
vyake ikiwemo simu na laptop yake na kuondoka naye kuelekea kituo cha
police kigamboni wakimtuhumu kuhusika na kosa la kimtandao.(ingawa
hawakueleza kosa...