
Makamu
wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, mshindi wa kwanza wa Mashindano ya
kumtafuta mwakilishi wa Nchi atakayeiwakilisha Tanzania kwenye
mashindano ya Kimataifa ya Qur'aan Tukufu, Rajai Ayoub, aliyepata pointi
95 kwa upande wa Tajweed, wakati wa mashindano hayo yaliyofanyika
kwenye Ukumbi wa...