Monday, 29 February 2016

Habari Katika Magazeti ya Tanzania siku ya Jumanne ya March 1 yako hapa.

...

Breaking News>>>WAZIRI MKUU AAGIZA DAKTARI WA HOSPITALI YA LIGULA MKOANI LINDI ASIMAMISHWE KAZI.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Waganga, Wauguzi na wafanyakazi wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara wakati alipoitembelea Februari 29, 2016. Ni baada ya kudai rushwa ya sh. 100,000/- kumfanyia upasuaji mgonjwa. Mama alilazimika kuuza shamba ili apate fedha za kumtibia baba yake Aagiza maduka ya dawa nje ya hospitali hiyo yafungwe leo hii Amwagiza RAS aitishe...

#YALIYOJIRI>>>>WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA MTWARA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

 Wamawake wakiwa wametandika khanga kwenye wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Februari 29, 2016.Waziri Mkuu, Kassim majaliwa alitembelea wodi hiyo na kukemea mtindo huo akiwataka wauguzi na waganga kutandika mashuka yahospitali ambayo alisema ana taarifa kuwa yapo ili kuepusha hatari ya wananwake hao kubeba magonjwa kupitia kahanga hizo watokapo hospitalini...

Angalia video ya Nay Wamitego inayoitwa "Shika Adabu Yako".Hapa hapa.

...

#YALIYOJIRI>>> MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA MASHINDANO YA KUTAFUTA WAWAKILISHI WA NCHI KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA QUR'AN TUKUFU.FAHAMU ZAIDI HAPA.

 Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, mshindi wa kwanza wa Mashindano ya kumtafuta mwakilishi wa Nchi atakayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa ya Qur'aan Tukufu, Rajai Ayoub, aliyepata pointi 95 kwa upande wa Tajweed, wakati wa mashindano hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa...

Download nyimbo mpya ya Harmonize_Ft_Diamond_Platnumz inayoitwa "Bado".Hapa hapa.

Toka Lebel ya WCB Harmonize katuletea hii  ambayo amemshirikisha Boss wake, Diamond Platinum kwenye Audio ya Bado’ kutoka kwa producer Flaga na Laizer kutokea lebel ya WCB Unaweza ukaisikiliza nyimbo ya Harmonize ft Diamond Platinumz ‘Bado’ hapa chini. ...

#Breaking News>>>WANAFUNZI WACHEZEA BAKOLA ZA FFU LEO JIJINI DAR.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Mwanafunzi wa chuo cha St. Joseph kampasi ya Dar es Salaam akiwa miguuni wa Askari leo mara baada ya kuishiwa nguvu wakati wakitawanywa na Askari hao jijini Dar es Salaam leo walipokuwa wakiandamanda kuelekea wizara wizara ya elimu, Sayansi na mafunzo ya Ufundi.  Wanafunzi wa Chuo cha St. Joseph tawi la jijini Dar es Salaam wakitawanywa na askali wa...

#YALIYOJIRI>>>RAIS MAGUFULI AMEFANYIA KAZI SUALA LA BANDARI YA DAR ES SALAAM-SYROSE BHANJI.FAHAMU ZAIDI HAPA.

  Spika wa Bunge, Job Ndugai akiwatambulisha wabunge wa bunge la Afrika Mashariki waliofika ofisini kwake leo katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kwaajili ya kumpongeza kwa kuchaguliwa kuwa spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa serikali ya awamu ya tano. BUNGE la Afrika Mashariki limesema kuwa changamoto zilizokuwepo katika Bandari...

#YALIYOJIRI>>>>Jeshi la Polisi Zanzibar Latoa Ufafanuzi Kuhusu Madai ya CCM Kutaka Maalim Seif Akamatwe.Fahamu zaidi hapa.

Jeshi la Polisi Zanzibar limetoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuwa jeshi hilo linapanga kumkamata Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi, CUF, Maalim Seif Sharif Hamad. Taarifa zinazosambaa kwa kasi mitandaoni  zinasema Maalim Seif anatakiwa kukamatwa kwa tuhuma zinazohusiana na kujitangazia ushindi katika uchaguzi wa tarehe...

#MICHEZO>>>IBRAHIM AJIB AKABIDHIWA TUNZO YA MCHEZAJI BORA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Katika kuongeza morali na kuwazawadia wachezaji wanaofanya vizuri, Klabu ya Simba ilianzisha Tunzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi kuanzia mwezi wa Septemba 2015. Mshindi wa mwezi wa Disemba, 2015 ni Ibrahim Ajib ambapo amepata kura nyingi zaidi zilizopigwa na mashabiki na wapenzi wa Simba na soka wa Tanzania kwa ujumla kupitia simu za mkononi ambao pia wamejiunga na...

#YALIYOJIRI>>>Mabweni ya shule ya Sekondari Iyunga jijini Mbeya yateketea kwa moto.Fahamu zaidi hapa.

Askari wa Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, akiendelea na jitihada za kuuzima moto unaoendelea kuwaka na kuteketeza Mabweni ya shule ya Sekondari Iyunga jijini humo, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa, na jitihada za kuuzima zinaendelea. Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, kikiendelea na jitihada za kuuzima moto huo. Baadhi ya Wanafunzi wa...