
*_Mhe Lembeli amerudi chama cha CCM hivi mchana wa leo katika mkutano
mkubwa wa Mhe Mwenyekiti wa CCM na rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli… Huko mjini Kahama. Anasema
haoni sababu ya kwenda na “..safari ya uhakika isiyo na uhakika… kule
hamna kitu.”_*...