Tuesday 1 August 2017

RASMI DIDA ATUA AFRIKA KUSINI NA KUSAINI KATIKA TIMU YAKE MPYA.

Kipa wa zamani wa Yanga, Deogratius Munish ‘Dida’ amesajiliwa na klabu ya Chuo Kikuu cha Pretoria.

Timu hiyo maarufu kama Tuks FC inashiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Afrika Kusini.

Mara ya mwisho iliteremka daraja kutoka Ligi Kuu Afrika Kusini maarufu kama ABSA Premiership baada ya kushika nafasi ya 15 ilikuwa ni msimu wa 2015-16.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment