Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>>Aliyekuwa mtangazaji ITV akiwa ofisini baada ya kuteuliwa Mkuu wa Wilaya.Fahamu zaidi hapa.
Baada ya kuteuliwa na Rais Magufuli kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni,
aliyekuwa mtangazaji maarufu wa ITV Godwin Gondwe aliapishwa na Mkuu wa
Mkoa wa Tanga na mara moja ameanza kutekeleza majukumu yake.
Hapa chini baadhi ya picha zikimuonyesha akiwa ofisi kwake wilayani Handeni tayari ameanza kutekeleza majukumu yake.
Related Posts:
MAJAMBAZI Yapora Mamilioni Mbele ya Askari polisi Dar.Fahamu zaidi hapa.
WATU wanaodaiwa majambazi wamepora kiasi cha fedha kinachokadiriwa
kuwa zaidi ya shilingi milioni 25 katika makutano ya barabara ya Mandela
na Nyerere, eneo la Tazara, Dar es Salaam.
Gazeti hili lilishuhudia tukio hilo … Read More
Lowassa Apongeza Ushindi Wa Trump.Fahamu zaidi hapa.
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewapongeza raia wa Marekani kwa kumchagua Donald Trump kuwa rais mpya wa nchi hiyo.
Kwa mujibu wa Lowassa, Trump atakuwa rais mwenye kufanya uamuzi mgumu kwa kuwa ni shupavu na a… Read More
Ufafanuzi wa Zitto baada ya baadhi ya wabunge kutofurahishwa na tamko lake.Fahamu zaidi hapa.
December
30 2016 mbunge wa kigoma mjini na kiongozi mkuu wa chama cha ACT
Wazalendo Zitto Kabwe alitoa taarifa kuhusu madeni anayodaiwa, kiwango
cha mshahara wake wa mwaka, kiasi cha pesa kilichopo benki, posho pam… Read More
Mtoto Amuua Baba Yake Na Kutaka Kumfukia.Fahamu zaidi hapa.
Jeshi
la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Patrick Malindisa (29) mkazi wa
Mtaa wa Namanyigu Manispaa ya Songea kwa tuhuma za kumuua baba yake
mzazi Athanasi Malindisa (70) kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali
k… Read More
Askari wa wanyama pori mbaroni kwa kuua na kuficha maiti.Fahamu zaidi hapa.
Jeshi
la polisi mkoani Dodoma, linawashikilia askari watatu wa wanyamapori wa
pori la akiba Swagaswaga wilayani Kondoa, wakituhumiwa kumuua mkazi wa
kijiji cha Olimba wilaya ya Chemba kwa kumpiga risasi mgongoni
wakimt… Read More
0 comments:
Post a Comment