Thursday, 24 November 2016

#YALIYOJIRI>>>Wataalam wa afya kuanza kusajiliwa na kupewa leseni.Fahamu zaidi hapa.

Wataalamu mbalimbali wa sekta ya afya, sasa wataanza kusajiliwa na kupewa leseni zitakazowatambulisha na zitakuwa na masharti maalumu. Hayo yamesema na Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi  jana Jumatano  jijini Dar es salaam, wakati akifungua mkutano wa mwaka wa Chama cha Wafiziotherapia (APTA). Alisema serikali imeanza mchakato wa kuipitia...

#BURUDANI>>>Waziri Nape Nnauye Alitembelea Kundi la Wasafi Classic Linaloongozwa na Diamond Platinumz.Fahamu zaidi hapa.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Nape Nnauye ametembelea ofisi za Kundi la musiki wa kizazi kipya la Wasafi. Pamoja na mambo mengine uongozi wa kundi hilo umemuomba waziri huyo kushughulikia changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwa ni pamoja na kupunjwa mapato yatokanayo na miito ya simu (Caller tunes), wizi wa kazi za wasanii, kupata...

#BURUDANI>>>>ALI KIBA Ashinda Tuzo za NAFCA na The Nol.Fahamu zaidi hapa.

Alikiba ashinda tuzo mbili za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA) Alikiba ameshinda vipengele viwili kwenye tuzo za heshima kubwa za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA) ambazo hutolewa nchini Marekani. Tuzo za mwaka huu zilitolewa wikiendi hii kwenye ukumbi wa Alex Theatre of Glendale, huko California. Zilikuwa ni tuzo za 6 na zilionekana katika...

#YALIYOJIRI>>>HIFADHI YA TAIFA YA MSITU WA MKWENI UPO HATARINI KUTOWEKA KUTOKANA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA.FAHAMU ZAID HAPA.

Katikati Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akishiriki katika kuteketeza tanuru la mkaaa katikati ya hifadhi ya m situ ya Mkwemu Wilayani Kahama. Na Evelyn Mkokoi Hifadhi ya Taifa ya Msitu wa Ukwemi uliyopo katika wilaya ya Kahama upo hatarini kutoweka kutokana na shughili za kibinadamu zinazofanywa ndani ya hifadhi hiyo...

#YALIYOJIRI>>>Mawakili wa Lema wakata rufaa kudai dhamana.....Rufaa hiyo Itasikilizwa Jumatatu.Fahamu zaidi hapa.

Hatimaye  rufaa ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema iliyokatwa na mawakili wake itasikilizwa Jumatatu ijayo. Rufaa hiyo itasikilizwa na Jaji Fatma Masengi ya kuomba mbunge huyo kupewa dhamana baada ya mawakili wanaomtetea jana kusajili maombi ya rufaa namba 112/113 ya mwaka 2016 Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, ili kudai haki ya dhamana ya Lema aliyonyimwa...

#YALIYOJIRI>>>>Majaliwa awavaa waajiri wanaonyanyasa wafanyakazi, atoa kauli kuhusu viongozi wanaowaweka rumande watumishi.Fahamu zaidi hapa.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haitawavumilia waajiri ambao hawatoi mikataba ya ajira kwa wafanyakazi wao na amewaonya waache tabia hiyo mara moja. Ametoa agizo hilo jana (Jumatano, Novemba 23, 2016) wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Sita wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) katika ukumbi wa Mwalimu Julius K. Nyerere ulioko Chuo...

#YALIYOJIRI>>>> RC Makonda apiga marufuku wauza mbogamboga na samaki.Fahamu zaidi hapa.

Mkuu  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amepiga marufuku wauzaji holela wa samaki na mboga mitaani badala yake wapeleke katika masoko maalumu.   Aidha ameliagiza jeshi la polisi na halmashauri zote mkoani humu kuwakamata wafanyabiashara watakaokiuka agizo hilo.   Makonda alitoa kauli hiyo jana, wakati alipotembelea Soko la Kimataifa la Samaki...

#YALIYOJIRI>>>>Mikoa inayoongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini Tanzania.Fahamu zaidi hapa.

Mikoa ya Tabora, Katavi na Rukwa imetajwa kuwa ni miongoni  mwa mikoa  10 inayoongoza kwa maambukizi  ya virusi vya ukimwi. Hiyo ni  kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2011/2012 za Taasisi ya Mkapa. Taarifa hiyo  ilitolewa na Meneja Mradi wa TB na Ukimwi kutoka Taasisi ya Mkapa, Dkt. Happenes  Wilbroad     katika mafunzo...

Wednesday, 23 November 2016

#MICHEZO>>>>SAFARI YA NDEMLA ULAYA YAANZA KUNUKIA, HII NI KAULI YA MENEJA WAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Kiungo kinda wa Simba, Said Ndemla, wakati wowote kuanzia sasa anaweza kuachana na timu hiyo na kwenda Ulaya kutafuta nafasi ya kucheza soka la kulipwa. Meneja wa kiungo hiyo, Jamal Kisongo, amesema hivi sasa yupo katika harakati za mazungumzo na baadhi ya timu kutoka mataifa mbalimbali ya Ulaya ambayo yameonyesha nia ya kutaka kumchukua mchezaji huo. Alisema ...

Download wimbo mpya wa Stamina Ft. Mr BLUE unaoitwa "Nitampigia".

Download wimbo wa Stamina Ft. Mr BLUE  unaoitwa "Nitampigia". Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi Bonyeza Hapa CLICK HERE   <<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>&g...

Download wimbo mpya wa Rich Mavoko Ft Diamond Platnumz unaoitwa "Kokoroko".

Download wimbo wa Rich Mavoko Ft Diamond Platnumz unaoitwa "Kokoroko". Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi Bonyeza Hapa CLICK HERE   <<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>&g...

#MICHEZO>>>>Arsenal yakubali sale ya kufungana Arsenal 2 - 2 Paris Saint Germain kwenye uwanja wake wa nyumbani Emirates Stadium.Fahamu zaidi hapa.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi Bonyeza Hapa CLICK HERE   <<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>&g...

#YALIYOJIRI>>>GHARAMA ZA KUMLINDA RAIS MTEULE WA MAREKANI DONALD TRUMP.FAHAMU HAPA.

Tarehe 9, Novemba 2016 siku moja baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Marekani, aliyekuwa mgombea wa Chama cha Republican Donald John Trump alitangazwa kuwa mshindi baada ya kumgaragaza mpinzani wake wa karibu na mgombea wa Chama cha Democratic, Hillary Clinton.   Baada ya kutangazwa kuwa Rais Mteule wa Marekani, vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo vinawajibu...

Angalia Video mpya ya Rich Mavoko Ft Diamond Platnumz inayoitwa "Kokoroko".

New Video Rich Mavoko Ft Diamond Platnumz-Kokoroko. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi Bonyeza Hapa CLICK HERE   <<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>&g...

#YALIYOJIRI>>>>RUNGU LA RC MAKONDA LAMVAA MWENYEKITI WA SERIKALI ZA MITAA KWA TUHUMA ZA KUHUJUMU MAPATO.FAHAMU ZAIDI HAPA.

MWENYEKITI WA MTAA WA GONGO LA MBOTO AKITIWA MBARONI NA JESHI LA [OLISI MARA BAADA YA AMRI YA RC MAKONDA  Na Sosy Mwenyekiti  wa Serikali ya Mtaa wa Gombo la Mboto Bakari Shingo atiwa mbaroni na jeshi la Polisi kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda mara baada ya  kuhusishwa na tuhuma za kukusanya mapato kwa kutumia risiti anazozichapisha...

#BURUDANI>>>>Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepetu.Fahamu zaidi hapa.

MASTAA wawili waliokuwa mashosti siku za nyuma, Aunty Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wameingia kwenye msuguano tena hivi karibuni huku hali ikionesha kuwa mastaa hao kwa sasa ndiyo basi tena. Hali hiyo imetokea juzi baada ya Aunty kuweka picha ya kumtakia siku njema ya kuzaliwa rafiki na msanii mwenzake, Maimartha Jesse kwa kuandika, “Happy bday Kipenzi cha Roho yangu...

#YALIYOJIRI>>>>YAMETIMIA...Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Limetangaza Kupunguza Idadi ya Wafanyakazi Wake.Fahamu zaidi hapa.

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kupunguza idadi ya wafanyakazi wake ikiwa ni njia ya shirika hilo kuweza kujiendesha kwa faida na kufikia malengo yake. Mkurugenzi Mkuu wa shirikia hilo, Mhandisi Ladislaus Matindi alisema kuwa mchakato wa kupunguza asilimia 90 ya wafanyakazi wa shirika umekamilika na utaratibu wa kuanza kulisuka upya shirika utaanza hivi...

#YALIYOJIRI>>>Mwathirika wa UKIMWI Aliyewanajisi Watoto 100 Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwil.Fahamu zaidi hapa.

Siku chache baada ya kuripotiwa taarifa za kukamatwa kwa mwanaume mmoja kutoka Malawi ambaye inadaiwa alikuwa akiwanajisi watoto wadogo wanaotajwa kufika 100 kwa maelezo kwamba anawasafisha na kufanya tambiko la kimila, Hatimaye amehukumiwa kwenda jela miaka miwili. Hukumu hiyo imeonesha kutotenda haki kwa watoto hao kutokana na uchache wa miaka aliyofungwa mwanaume...

#MICHEZO>>>>Mbwana Samatta Atemwa Tano Bora ya Mchezaji Bora Afrika.Fahamu zaidi hapa.

Shirikisho la soka barani Africa (Caf) limetoa orodha ya majina ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika mwaka 2016, jina la mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta halipo katika orodha ya wachezaji hao waliofanikiwa kuingia tano bora. Samatta alikuwepo kwenye orodha ya awali safari hii alikuwa akiwania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa ujumla...

#YALIYOJIRI>>>>Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) Yataadharisha Kuhusu Uwezekano wa Kuja Kwa Mvua Kubwa.Fahamu zaidi hapa.

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) yataadharisha kuhusu uwezekano wa kuja kwa mvua kubwa yenye upepo, yawataka wananchi wachukue tahadhari. Yasema mabadiliko ya hali ya hewa kwa sasa yanatokana na kuwepo kwa msimu unaotawaliwa na uwepo wa LANINA ambayo ni ongezeko la hali ya baridi katika eneo la Ikweta ya Bahari ya Pasifiki. Bado matarajio ya vipindi vifupi vya mvua...

#YALIYOJIRI>>>Chadema Kukusanya Bilioni 13.9 Kwa Mwaka Kupitia Kadi Mpya za Wanachama Zitakazoanza Kutolewa Mwakani.Fahamu zaidi hapa.

Chadema imetangaza kuwa Januari itaanza kutumia kadi mpya za uanachama za kielektroniki, zitakazoiwezesha kukusanya Sh13.9 bilioni kwa mwaka na kupunguza utegemezi wa ruzuku ya Serikali. Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe wakati wa mkutano wa ndani uliofanyika mkoani Morogoro. Tofauti na Mbowe, viongozi wengine wa chama hicho...

#BURUDANI>>>>KAULI ya Basata Kuhusu Video Mpya ya Wimbo wa Rich Mavoko na Diamond Platnumz.Fahamu zaidi hapa.

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ambalo husimamia wasanii pamoja na kazi zao ikiwa ni wasanii wa filamu pamoja na wale wa muziki limesema kuwa linapitia video mpya ya mwanamuziki Rich Movoko aliyomshirikisha Diamond Platnumz kuona kama kuna vitendo vya udhalilishaji  wa kijinsia. BASATA kupitia ukurasa wao wa Twitter wameandika kuwa wapo thabiti kusimamia maadili...

Monday, 21 November 2016

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA MWANA FA FT VANESSA MDEE UNAOITWA "DUME SURUALI".

DOWNLOAD WIMBO WA MWANA FA FT VANESSA MDEE - DUME SURUALI. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi Bonyeza Hapa CLICK HERE   <<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>&g...