
Wataalamu
mbalimbali wa sekta ya afya, sasa wataanza kusajiliwa na kupewa leseni
zitakazowatambulisha na zitakuwa na masharti maalumu.
Hayo
yamesema na Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi jana
Jumatano jijini Dar es salaam, wakati akifungua mkutano wa mwaka wa
Chama cha Wafiziotherapia (APTA).
Alisema
serikali imeanza mchakato wa kuipitia...