Home »
Michezo
» LIVERPOOL MWENDO WA KASI, YAIBAMIZA 4-1 STOKE CITY.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mshambuliaji wa
Kibrazil, Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao
la pili dakika ya 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City Uwanja wa
Anfield leo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Goals: Adam
Lallana dakika ya 34, Giannelli Imbula aliyejifunga dakika ya 59 na
Daniel Sturridge dakika ya 70, wakati bao la Stoke City limefungwa na
Jon Walters dakika ya 12.
Download Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi
Related Posts:
HII NDIYO KAULI YA YANGA KWA WACHEZAJI WANAOTAKA KUONDOKA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Uongozi wa Yanga, umewataka wachezaji wote wanaotaka kuondoka, kusema mapema.
Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema klabu hiyo kongwe ingependa mambo kwenda kwa mpangilio.
“Kama kutakuwa na mcheza… Read More
RONALDO AMPIGA BAO LIONEL MESSI KWA KIPATO HADI SASA, NEYMAR AMUACHA BALE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameongoza kwa kuwa mwanasoka mwenye kipato zaidi kwa msimu wa 2016-17 hadi sasa.
Ronaldo
tayari ameingiza kitita cha pauni milioni 75.62 na amempiga bao
mpinzani wake mkubwa… Read More
RONALDINHO ATIMIZA NDOTO YAKE YA KUWA MWANAMUZIKI, AACHIA SINGO YAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mmoja wa wachezaji gwiji waliowahi kutokea nchini Brazil, Ronaldinho rasmi ameingia kwenye muziki.
Ronaldinho aliyestaafu mwaka 2015, ameibuka na sing mpya aliyoipa nina la ‘Sozinho’.
Mkali huyo aliyewahi kung’… Read More
YANGA YAKWAMA KUWAPELEKA WAARABU UWANJA WA KIRUMBA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kuna kila dalili Yanga itabaki jijini Dar es Salaam na kucheza na kikosi cha MC Alger kutoka Algeria.
Awali Yanga ilitaka kucheza mechi yake hiyo mjini Mwanza kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, mechi ambayo imepangwa kucheza… Read More
PICHA YA KUANZIA SIKU HII HAPA; AJIBU AKIWATESA WARUNDI WATATU.
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Ibrahim
Ajibu akiwatoka walinzi wa timu ya taifa ya Burundi katika mechi ya
kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.
Ajibu ni mmoja wa wachezaji vijana wa Tanzania weny… Read More
0 comments:
Post a Comment