Home »
Burudani
» Haya ni maandalizi tu ya Sahara Garden pub inafanya shangwe za kukalibisha sherehe za Christmas 🌲 na Mwaka Mpya.Karibuni sn Mabibo Sahara mambo yameiva kiingilio ni sh.10,000/= na unapewa kinywaji na nyama.hii ni time yako.
G Nako Afunguka ishu ya Kulala Kwenye Jeneza.
Msanii wa Bongo Fleva kutoka kundi la Weusi, G Nako ameelezea issue yake
ya kulala kwenye jeneza kama inavyoonekana kwenye video ya wimbo ‘Lucky
Me’.
G Nako amesema baada ya video hiyo kutoka kuna watu wameogopa na kuwa…Read More
Mastaa Wengi ni Wasumbufu Kwenye Mapenzi – Amber lulu.
Video vixen na mwanamuziki kutoka hapa Bongo Amber Lulu amebainisha kuwa
mastaa wengi katika kiwanda cha burudani ni wasumbufu sana ukiingia nao
katika mahusiano ya kimapenzi.
Amber mwenye Lulu zake amebainisha hayo ku…Read More
VIDEO: Diamond Kaongea Baada ya Rayvanny Kushindi Tuzo ya BET.
Ni Mwimbaji staa wa Bongo Fleva, makofi mengi amepigiwa kwenye utunzi
wake pamoja na ukali wake wa melody, anaitwa Rayvanny kutoka WCB ambae
June 24, 2017 ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best
New Inter…Read More
Picha: Jux ahitimu Chuo, China.Msanii wa Bongo Fleva, Jux ameachia picha mtandaoni zikimuonyesha akiwa
katika mafahali kitu ambacho kinaashiria kuwa amehitumu Chuo.
Muimbaji huyo wa RnB kwa kipindi kirefu amekuwa akidai anasoma nchini
China lakini watu…Read More
0 comments:
Post a Comment