Rais Uhuru Kenyatta na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Volkswagen, Dk. Herbert Diess, wamefungua rasmi kiwanda cha kuundia magari hayo nchini Kenya, hii ikimaanisha kuwa sasa Volkswagen zitaundwa Afrika Mashariki.
Download Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi
0 comments:
Post a Comment