Saturday, 6 May 2017

LISSU: Rais Alipowaambia Waandishi 'Hamna Uhuru Kiasi Hicho' Alishauriwa na Nani.

Tundu Lissu akichangia bajeti habari, sanaa na michezo amesema katiba yetu imeondoa mipaka ya uhuru wa habari na kipindi kuanzia mwaka 2015 uhuru wa habari unakabiliwa na hatari kuliko kipindi chochote,
Amemuuliza waziri wa katiba na sheria kuwa rais aliposema hadharani kuwa waandishi wa habari hawana uhuru kiasi hicho kwa kutangaza habari za migogoro ya wakulima na wafugaji alikuwa ameshauriwa na mtu au ni yeye mwenyewe?
Amesema kuna mambo mabaya yanafanyika lakini wabunge wanayazuia yasihojiwe bungeni ila baada ya muda na wao wataanza kushughulikiwa na hakutakuwa na kelele
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment