Jiji la Mwanza kwa sasa linazidi kunawiri na kupata mwonekano mpya
kutokana na ujenzi wa Daraja la Furahisha kufikia katika hatua nzuri.
Daraja hilo kwa juu wanapita watembea kwa miguu na chini vyombo vya
usafiri. Kwa waliopita kwenye Daraja la Manzese wanapata picha ila hili
la Furahisha ni la kipekee kutokana na jinsi lilivyonakishiwa.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
0 comments:
Post a Comment