Tuesday 1 August 2017

ISIHAKA AIKWEPA DARAJA LA KWANZA, ATUA MTIBWA SUGAR.

Nahodha wa zamani wa Simba, Hassan Isihaka ameepuka Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara baada ya kutua Mtibwa Sugar kwa mkataba wa miaka miwili.

Isihaka alikuwa mchezaji wa Simba baadaye akatua African Lyon ambayo imeteremka hadi daraja la kwanza.


Lakini leo amekamilisha usajili wake na kujiunga rasmi na Mtibwa Sugar ili kuongeza nguvu safu ya ulinzi.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment