
Msanii wa filamu nchini Niva Super Mariyoo, ambaye alionja joto ya jiwe
kwa muda fulani baada ya kutajwa kwenye wimbo wa Nay wa Mitego ‘Shika
adabu yako’ na kusema “Huyo msanii huyo hana hata chumba cha kupanga ila
anaishi kwenye gari”.
Niva amefunguka na kusema kuwa Nay wa Mitego siku zote huwa anaimba
watu maarufu ili apate kiki na kusema msanii huyo kutokana na...