Mchezo wa nusu fainali ya Azam Sports Federation Cup (FA Cup) kati ya Coastal Union dhidi ya Yanga umeshindwa kumalizika kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga kutokana vurugu za mashabiki. Mwamuzi wa pambano hilo alilazimika kulivunja pambano hilo likiwa kwenye dakika 30 za nyongeza baada ya dakika 90 za kawaida kumalizika huku timu hizo zikiwa sare kwa kufungana goli 1-1. Hadi mchezo huo unavunjwa na mwamuzi, Yanga walikuwa wanaongoza kwa magoli 2-1. Coastal Union walikuwa wa kwanza kupata goli la kuongoza lililofungwa na Sabo dakika ya 54 kipindi cha pili lakini Ngoma akaisawazishia Yanga kabla ya Tambwe kuiweka mbele Yanga kwa goli la dakika za nyongeza kabla ya mchezo kuvunjwa. TFF inasubiriwa kutoa muongozo juu ya mchezo huo ambao dakika zake 120 hazikumalizika
Monday, 25 April 2016
Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>Picha 5:: Refa Alivyoumizwa na Mashabiki Wa Coastal Union Wakicheza na Yanga.Jionee hapa.
#MICHEZO>>>Picha 5:: Refa Alivyoumizwa na Mashabiki Wa Coastal Union Wakicheza na Yanga.Jionee hapa.
Related Posts:
KUSAMBAA KWA ISHU YA SIMBA KUPEWA POINTI TATU YA KAGERA IKO HIVI.FAHAMU ZAIDI HAPA. Wakati taarifa zimekuwa zikisambaa mitandaoni kuwa tayari Simba wameshinda rufaa yao na kupewa pointi tatu dhidi ya Kagera Sugar, ukweli ni kwamba kikao cha kamati ya Saa 72, kitakaa saa 9 Alasiri jijini Dar es Salaam. … Read More
Hicho Ndio Kikosi cha Yanga Kitachoenda Kupambana na Alger.Fahamu zaidi hapa. Klabu ya soka ya Yanga SC inapenda kutoa taarifa juu ya safari yake leo Alhamisi kwenda Algeria katika mechi ya marudiano dhidi ya Mc Alger. Msafara wa wachezaji 20, benchi la ufundi na viongozi utaondoka Alhamisi jio… Read More
#Breaking news>>>Timu ya Simba yapewa point 3 baada ya kuishinda rufaa dhidi ya Kagera Sugar.Fahamu zaidi hapa. Hatimaye kamati iliyokaa leo imebaini Timu ya kagera Sugar ilimchezesha mchezaji wake Muhamad Fakhy hukunakiwa na kadi 3 za njano ambalo ni kosa kisheria.sasa Timu ya simba imepatiwa point 3 na magoli mawili na hivyo kup… Read More
Baloteli Afanya Kituko cha Mwaka Uwanja wa Ndege..Apita Mlangoni kwa Kuserereka.Fahamu zaidi hapa. KAMA unafikiria kuwa kuna siku Mario Balotelli ataacha vibweka, basi futa hilo akilini mwako. Hivi karibuni aliwaacha hoi maofisa usalama wa Uwanja wa Ndege nchini Ufaransa, baada ya kuingia mlangoni kwa ‘style’ ya kuse… Read More
Manara Awajibu Yanga Baada ya Kupinga Malalamiko ya Simba kwa Mchezaji wa Kagera Sugar.Fahamu zaidi hapa. Baada ya kamati tendaji ya Yanga kupitia kwa mjumbe wake Salum Mkemi kutanganza kupinga malalamiko ya Simba dhidi ya Kagera Sugar kwa kumtumia mchezaji wao Mohamed Fakih kwenye mechi kati ya Kagera Sugar dhidi ya Simba,… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment