Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>FARID MUSA TAYARI KAPIMWA AFYA, ATASAINI DEAL SPAIN.Fahamu zaidi hapa.
Habari njema kuhusu winger wa Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Farid
Musa ni kwamba, leo amefanyiwa vipimo vya afya ili kujua ufiti wake,
Tenerife wamesema ikiwa atafanikiwa kufaulu vipimo hivyo, wangependa
wamchukue kwa mkopo wa miaka miwili (2).
Farid Musa ameongezewa wiki moja nyingine ya majaribio na Club Deportive
Tenerife ya nchini Hispania ambako ameenda kusaka mafanikio ya soka la
kulipwa nje ya Tanzania.
Yusuf Bakhresa ambaye yuko pamoja na Farid nchini Hispania, ameiambia
www.shaffihdauda.co.tz kwamba inavyoonekana mpaka sasa Farid ananafasi
kubwa ya kubaki kwenye klabu hiyo.
Related Posts:
SIMBA YATIMIZA ALICHOTAKA OMOG, YASAJILI MTUPIA MABAO KINDA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Klabu ya Simba imemsajili mshambuliaji nyota wa Stand United anayejulikana kwa jina la Pastory Athanas.
Athanas amesaini mkataba wa miaka miwili leo mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva.
Kocha
Joseph Omog raia wa… Read More
MATUMAINI UPYA KWA FARID MUSSA SAFARI YA HISPANIA, AANZA MAANDALIZI TENA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kiungo
kinda wa Azam FC, Farid Mussa ameanza maandalizi yake tena kujiandaa
kwenda Hispania kujiunga na timu yake ya Derportivo Tenerife ya
Hispania.
Tayari
Farid amepata matumaini mapya baada ya leo kutinga kweny… Read More
SIMBA SC Yachezea Vitasa vya Mtibwa Sugar.Fahamu zaidi hapa.
KLABU ya Simba ikiwa na kipa wake mpya Daniel Agyei, jana imekubali
kichapo cha mabao 2-1 katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar iliyochezwa
kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.
Simba ilikuwa na nafasi ya kusa… Read More
#MICHEZO>>>>SAFARI YA NDEMLA ULAYA YAANZA KUNUKIA, HII NI KAULI YA MENEJA WAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kiungo
kinda wa Simba, Said Ndemla, wakati wowote kuanzia sasa anaweza
kuachana na timu hiyo na kwenda Ulaya kutafuta nafasi ya kucheza soka la
kulipwa.
Meneja
wa kiungo hiyo, Jamal Kisongo, amesema hivi sasa yupo k… Read More
Ripoti ya Madaktari kuhusu chanzo cha kifo cha mchezaji wa Mbao FC.Fahamu zaidi hapa.
Ripoti
iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Dk. Thoma Rutta na
kusomwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi inaeleza
kuwa kusimama kwa moyo ghafla ndio chanzo cha kifo chipukizi wa Mbao FC… Read More
0 comments:
Post a Comment