Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>Rais Wa Sudani Kusini, Mhe. Jenerali Salva Kiir Mayardit Awasili Nchini.Fahamu zaidi hapa.
Rais
wa Sudani Kusini, Mhe. Jenerali, Salva Kiir Mayardit (mwenye kofia
nyeusi) akishuka katika ndege ya Shirika la Kenya mara baada ya kuwasili
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere kwa
ajili ya ziara ya kikazi ya siku moja, 15 Aprili, 2016 Jijini Dar es
Salaam.
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na
Kimataifa, Mhe. Balozi Augustine Mahiga (kushoto) akisalimiana na Rais
wa Sudani Kusini, Mhe. Jenerali, Salva Kiir Mayardit (mwenye fimbo) mara
baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
K. Nyerere kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku moja, 15 Aprili, 2016
Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Sudani Kusini, Mhe. Jenerali, Salva Kiir Mayardit (mwenye fimbo)
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Dkt.
Richard Sezibera (wa pili kushoto) mara baada ya kuwasili katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere kwa ajili ya ziara ya
kikazi ya siku moja, 15 Aprili, 2016 Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Sudani Kusini, Mhe. Jenerali, Salva Kiir Mayardit (kulia)
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda mara baada
ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K.
Nyerere kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku moja, 15 Aprili, 2016
Jijini Dar es Salaam.
Related Posts:
#Breaking News>>>>>MBUNGE NA MTANGAZAJI WA BBC SWAHILI AUWAWA KWA RISASI.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Burundi Hafsa Mossi ameuawa na watu wasiojulikana mjini Bujumbura.
Bi Mossi, aliyekuwa wakati mmoja Waziri wa Masuala ya Afrika
Mashariki katika serikali ya nchi hiyo, aliuawa k… Read More
#BREAKING NEWS>>>>TETEMEKO LA ARDHI LAIKUMBA TANZANIA USIKU WA KUAMKIA LEO.Fahamu zaidi hapa.
Moderate earthquake – Tanzania on July 13, 2016
Most important Earthquake Data:
Magnitude : 5.1
Local Time (conversion only below land) : 2016-07-13 06:01:13
GMT/UTC Time : 2016-07-13 03:01:13
Depth (Hypocenter)… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Chadema yawekewa ulinzi kila kona Dodoma.Polisi watoa maagizo maalumu kwa wamiliki wa nyumba za wageni, Viongozi wa Bavicha wapandishwa kizimbani.Fahamu zaidi hapa.
Licha ya uongozi wa Chadema
kutangaza kwamba umefuta mpango wa vijana wake (Bavicha), wa kuisaidia
polisi kuzuia mkutano mkuu wa CCM uliopangwa kufanyika mwishoni mwa
wiki ijayo, jeshi hilo limeimarisha ulinzi kila kona… Read More
#YALIYOJIRI>>>>NEWS ALERT: KITUO CHA DK. MWAKA ,FATHAGET SANITARIUM,MANDAI HERBAL CLINIC VYAFUTIWA USAJILI WAKE, WENGINE WASIMAMISHWA MIEZI SITA NA ONYO KALI.Fahamu zaidi hapa.
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini, limekifutia
usajili wake wa kutoa huduma za kitabu, Kituo cha Tiba Asilia cha
ForePlan Kliniki iliyopo Ilala Bungoni jijini Dar es salaam,
kinachomilikiwa na Dkt. Juma Mwaka… Read More
#YALIYOJIRI>>>Mfanyabiashara Anayedaiwa Kujipatia Milioni 7 Kwa Dakika Afikishwa Mahakamani Na Kusomewa Mashitaka 199.Fahamu zaidi hapa.
Mfanyabiashara
Mohamed Mustapha (anayeongea na simu) na wenzake, wakiwa katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana kukabiliana na
tuhuma za kuibia Serikali kodi ya Sh milioni 7 kwa kila dakika kwa
kipind… Read More
0 comments:
Post a Comment