Msafara wa waziri wa sheria na katiba Dr. Harrison Mwakyembe jana ulipata ajali baada ya gari lililokua limembeba Mkurugenzi wa mashtaka na makosa ya jinai DPP Biswalo Mganga kupinduka katika kata ya Bwanga wilayani Chato wakitokea mkoani Geita.
Thursday, 14 July 2016
Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>Picha 3 za Ajali iliyotokea kwenye msafara wa Waziri Mwakyembe jana.Fahamu zaidi hapa.
#YALIYOJIRI>>>Picha 3 za Ajali iliyotokea kwenye msafara wa Waziri Mwakyembe jana.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>>Waandamanaji Ethiopia wakishambulia kiwanda cha Dangote.Fahamu zaidi hapa. Kiwanda cha kutengeneza simiti kinachomilikiwa na tajiri wa Afrika, mfanyabiashara wa Nigeria Aliko Dangote, kimeshambuliwa na waandamanaji katika eneo la Oromia, utawala wa eneo hilo umesema katika taarifa yake. Maan… Read More
#YALIYOJIRI>>>>SHIRIKA LA NDEGE LA AIR TANZANIA LATANGAZA NAULI ZAKE NI SAWA NA BURE.FAHAMU ZAIDI HAPA. Baada ya Rais John Pombe Magufuli kuzindua ndege mbili mpya zitakazotumiwa na Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) mwezi uliopita, shirika hilo limeatangaza rasmi maeneo ya safari za ndege hizo ikiwa na pamoja na nauli. … Read More
#YALIYOJIRI>>>>Rais Kabila Wa Congo-DRC Aweka Jiwe La Msingi Bandarini Jijini Dar Es Salaam .Kasema Nchi Yake Itaendelea Kutumia Bandari Yetu Kupitisha Mizigo.Fahamu zaidi hapa. Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mhe. Joseph Kabila Kabange ameweka jiwe la msingi la jengo la Kituo cha Pamoja cha Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ambalo limejengwa kwa lengo la kuwaweka pamoja … Read More
#YALIYOJIRI>>>>>Waziri atolea maelezo taarifa ya serikali kuhakiki watumishi wanavyotumia mishahara yao.Fahamu zaidi hapa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Angellah J. Kairuki amekanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa serikali ina mpango ya kuhakiki namna watumishi wake wanavyotumia mishah… Read More
#YALIYOJIRI>>>>PICHA 5: Tingatinga Lilivyofukua mamilioni yaliyokuwa Yamefichwa ardhini.Fahamu zaidi hapa. Kama wewe unadhani huna fedha, basi kuna wengine ambao wamezichimbia ardhini, tena kwa mamilioni. Benki ya chini ya ardhi iliyosheheni mamilioni ya fedha, zilizoswekwa ndani ya mifuko myeusi ya plastiki na kufukiwa mch… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment