Mwanamuziki Darasa amepata ajali maeneo ya Ntobo barabara yakuelekea
mgodi wa Bullyanhulu wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga. Waliokuwa
garini wote wamenusurika.
Katika gari hiyo pamoja na watu wengine alikuwa na mtayarishaji wa video aliye kwenye chart Hanscana.
TAZAMA VIDEO
TAZAMA VIDEO
Download Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi
Bonyeza Hapa CLICK HERE
0 comments:
Post a Comment