Sunday, 7 May 2017

EXCLUSIVE VIDEO: Mume mpya wa Flora afunguka.

Daud Kusekwa ndio jina la Mume mpya wa Mwimbaji wa nyimbo za Injili Madame Flora (zamani Flora Mbasha) ambapo ndoa yao wameifunga mwishoni mwa April 2017.

Baada ya Daud kuona mitandao inavyosema na watu wanavyokosoa muungano mpya wa wawili hao, amekaa kwenye AyoTV na millardayo.com na kuzungumza ya moyoni EXCLUSIVE, bonyeza play kumtazama hapa chini


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment