Friday 27 October 2017

Joti Kimeeleweka Anatarajia Kufunga Ndoa Hivi Karibuni.

Mchekeshaji mkongwe Bongo, Joti hatimaye ameamua kuachana na utani wa kudai anaoa na kuamua kufanya kweli kwa kudhihirisha yupo serious kidogo kwa jambo la mahusiano kwa kutarajia kuvuta jiko hivi karibuni.

Joti ambaye anafahamika kwa kufanya matangazo mengi ikiwemo ya kufunga ndoa , aliambatana na  watu wake wa karibu  katika sendoff  yake  iliyofanyika siku ya jana( Alhamisi) akiwa na mchekeshaji Seki.

Mchekeshaji huyo mwenye dili kibao town anatarajia kufunga ndoa rasmi  hivi karibuni na atakuwa ameingia kwenye orodha ya mastaa wa Bongo waliopo  katika ndoa kama Babuu wa Kitaa, Mx Carter, Kenedy The Remedy, Professa Jay, ZamaradI Mketema na Frola Mbasha.
chanzo Bongo5 

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment