Wednesday 31 May 2017

DAR: Yericko Nyerere Akamatwa Akiwa Nyumbani Kwake. Wachukua Simu na Laptop.

Watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi kitengo cha cyber crime! Wamefika mda huu majira ya saa 7:04 usiku, Kwa Yericko Nyerere wakiambatana na mwenyekiti Wa mtaa (Mbutu), walipofika wamemchukua yeye pamoja na vifaa vyake ikiwemo simu na laptop yake na kuondoka naye kuelekea kituo cha police kigamboni wakimtuhumu kuhusika na kosa la kimtandao.(ingawa hawakueleza kosa halisi kafanya lini na wapi).

Taarifa zaidi mtaendelea kuzipata baadae.
Ikumbukwe hii ni Mara ya pili kukamatwa kwake, baada ya kesi yake iliyodumu Kwa miaka miwili tangu kipindi cha uchaguzi ambapo alishinda na kuachiwa huru mapema April 2017.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

PICHA: Matajiri Walivyomiminika na Magari ya Bei Mbaya kumzika Ivan wa Zari.

UGANDA: WAKATI watu wengi walikuwa wakiomboleza kifo cha Ivan Semwanga, matajiri wakubwa na watu maarufu katika jiji la Kampala, waliitumia fursa hiyo kujitokeza na kuonyesha magari yao ya bei mbaya.

Wakati ibada ya mazishi ya Ssemwanga iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Paul la Namirembe mchana huu, matajiri wengi walijitokeza katika msururu mrefu ambao ulisababisha msongamano wa magari katika barabara ya Namirembe.
 
Pamoja na magari hayo kuwa ya bei kubwa, mengi yalikuwa na majina ya wamiliki wake badala ya namba za usajili na hivyo kuwa kivutio kikubwa kwa watu waliohudhuria mazishi hayo.
 
Matajiri maarufu kama Jack Pemba, Lwasa, Mugisha na  mwanamuziki  Bebe Cool, walikuwa miongoni mwa watu maarufu waliohudhuria ibada hiyo.
 
Ivan Semwanga alifariki katika Hospitali ya Biko Academy nchini Afrika Kusini, Alhamisi wiki iliyopita kutokana na ugonjwa wa moyo na anazikwa leo nyumbani kwao Kayunga.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

#Breaking News>>>>Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia.

Mbunge wa zamani wa Moshi Mjini (Chadema) Philemon Ndesamburo amefariki dunia ghafla leo, wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Moshi.
 
Katibu wa Chadema, Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amethibitisha kifo hicho na kueleza kuwa wataendelea kutoa taarifa zaidi juu ya kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe.
 
Taarifa zaidi kuhusu kifo cha Ndesamburo zitaendelea kukujia.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Radio EFM Yaongoza kwa kusikilizwa Jijini Dar.

Radio mpya hapa jijini yenye miaka miwili tu tangu ianze shughuli zake imekuwa tishio kwa Radio za hapa nchini.Radio EFM imetokea kupendwa sana kutokana na mpangilio mzuri wa vipindi vyao huku

ukinogeshwa na burudani za kila aina.Kipindi cha michezo cha Sport HQ kifanyikacho asubuhi kimekuwa kivutio kikubwa kwa watu wengi hasa kutokana na Radio nyingi mda wa asubuhi vipingi hufanana ila kwa EFM wao wakaja na kipindi cha michezo kwa Masaa 3.Pia kitendo cha ku support mziki halisi wa kitanzania nikimaanisha singeli  imesababisha watu kuisikiliza kwa wingi.

Geo poll ni  kipimo kinachoonyesha  idadi ya wasikilizaji katika radio kwa sehemu husika.
Geopoll inaonyesha Radio EFM ndiyo Radio inayoongoza kusikilizwa kwa sasa JIJINI Dar.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Imefichukaaa..Hii Hapa Sababu Kubwa Nyuma ya Pazia ka Nini Diamond Hakuhudhuria Mazishi ya Ivan Jana.

Baada ya Diamond Platnumz kutangaza kwamba angehudhuria mazishi ya aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga, ameshindwa kuhudhuria mazishi hayo yanayofanyika jioni hii katika makaburi ya ukoo wa marehemu yaliyoko Kayunga, nchini Uganda.
Muimbaji huyo  weekend hii alishambuliwa na mashabiki wake katika mitandao ya kijamii kutokana na kitendo chake cha kufanya show nchini Kenya licha ya mama watoto wake, Zari kufiwa na mume wake huyo wa zamani.
Meneja wa msanii huyo, Sallam amedai Diamond ameshindwa kuhudhuria mazishi hayo kutokana na ratiba kuingiliana.
“Kwenye mazishi hatujahudhuria, ilikuwa twende leo alfajiri lakini sasa kumbe wao wametoka usiku kwenda kijijini. Kwa hiyo nadhani ratiba yetu imeingiliana maana na sisi tulitoka Nairobi jana jioni.” Sallam alikiambia kipindi cha U-heard cha Clouds FM.
Pia Sallam amekanusha taarifa za kwenye mitandao ya kijamii kwamba wameshindwa kuhudhuria mazishi hayo baada ya kuzuiwa airport kuingia nchini Uganga kutoka na ishu za usalama.
Alisema wao walitaka kuhudhuria mazishi hayo kwaajili ya mkupatia pole Zari  kwa kuwa huyo ndiye  mtu wao.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

#Breaking News>>>IGP Simon Sirro Kaongea na Waandishi wa Habari kwa Mara ya Kwanza na Kutangaza Dau la Milioni 10.

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro kwa mara ya kwanza amefanya mazungumzo maalum na wanahabari jijini Dar es Salaam na kutangaza dau nono la Sh10 milioni kwa atakayetoa taarifa kuhusu mauaji ya Kibiti, Rufiji na Mkuranga. 
“Niwaambie ukweli kuwa katika hili, maneno yatakuwa machache lakini vitendo vitakuwa vingi zaidi,” amesema katika mkutano huo.

Pia IGP Sirro amewatangazia kiama madereva wa bodaboda na kuwataka kuacha kuvunja sheria za barabarani kwa makusudi.

“Huu ni wakati wa kutii utawala wa sheria bila shuruti na nimeshaongea na makamanda wa polisi nchi nzima,” amesema 


==>Msikilize hapo chini akiongea



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Monday 29 May 2017

Mwigulu Nchemba Awachongea Andrew Chenge na Warema kwa Kuhusika na Kusaini Mikataba Mibovu ya Madini..

Waziri   wa Mambo ya Ndani, Mwingulu Nchemba amewachana  wanasheria wakuu wa Serikali wastaafu kwa kuwataka waeleze hadharani maslahi walionayo kwenye kampuni za madini zinazosafirisha mchanga nje ya nchi.
Wanasheria hao wakuu wa serikali wastaafu, ni Andrew Chenge na Jaji Frederick Werema na amewataka wamwache  Rais John Magufuli aendelee kulinda rasilimali za umma, zisiliwe na watu wachache.
Mwingulu amesema hayo juzi wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliohudhuriwa  na mamia ya wananchi wa Tarafa ya Ndago, jimbo la Iramba.
 Alisema Chenge na Werema kwa nyakati tofauti wakiwa wanasheria wakuu wa Serikali, pamoja na majukumu yao mengine, wameshiriki kusaini  mikataba mikubwa mikubwa, ikiwemo ya makampuni ya kuchimba madini.
 “Kwa akili ya kawaida tu, baadhi ya mikataba mikubwa ikiwemo ya makampuni ya madini, haikuwa sawa… Ndio maana imelalamikiwa kwa muda mrefu,” alifafanua Mwigulu.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Harmorapa Atangaza Kujiunga na Freemason,Asambaza Picha Akiwa na!!..


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Kimenuka..Nape Nnauye Awaponda Wabunge wa CCM Wanaosifia Kila Kitu.

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amefunguka na kusema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi ambao wanaishauri na kuikosoa serikali ni watu ambao wana mapenzi mema na Rais na serikali yake kuliko wanao sifia kila kitu.

Nape Nnauye amedai wabunge ambao kazi yao ni kusifia kila kitu hata kama kuna mapungufu hao hawana mapenzi ya kweli kwa Rais Magufuli na serikali kiujumla na kudai yeye anaitumia nafasi yake vizuri kutoa ushauri kwa serikali kupitia bunge sababu ndiyo njia sahihi aliyonayo kwa sasa.

"Kimsingi kazi kubwa ya Mbunge hasa wabunge wa CCM ni kuishauri serikali yake sisi tunaoshauri tunampenda zaidi Rais na tunaipenda zaidi serikali ifanye vizuri kuliko wale ambao watakuja na kusifu na kupongeza kwa kila kitu, hata pale wanaona kabisa hapa tungeweza kushauri na mambo yakarekebishika" alisema Nape Nnauye 

Mbali na hilo Nape Nnauye amedai kuwa watu ambao wanashangaa yeye kuishauri serikali sasa kupitia bunge anasema hawafahamu pia alipokuwa kwenye Baraza la Mawaziri, alikuwa akifanya hivyo.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Baada ya Kutumbuliwa Kwa Mara ya Pili..Profesa Muhongo Ashauriwa Kurudi Shule.

MCHAMBUZI wa masuala ya siasa amemshauri aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini mpaka katikati ya wiki iliyopita, Profesa Sospeter Muhongo kuacha siasa na kurudi chuoni kufundisha elimu ya giologia baada ya kupata 'ajali' mbili za kisiasa ndani ya miaka miwili.

Profesa Muhongo alifukuzwa kazi na Rais John Magufuli Jumatano, ikiwa ni miezi 28 kamili tangu ajiuzulu nafasi hiyo Januari 24, 2015 chini ya Rais wa nne, Jakaya Kikwete.

Akizungumza na Nipashe kwa njia ya simu jana, Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Benson Bana alisema baada ya miaka mitano ya ubunge wake ni vyema Prof. Muhongo akarudi kufundisha ambako atatoa uzoefu wa kuwa kiongozi serikalini na mwanasiasa.

"Hatima ya kisiasa amejijengea vizuri kwa kuwa wapiga kura wake wamemuelewa na wana imani naye ndiyo maana walimchagua," alisema mchambuzi Prof. Bana. "Ataendelea kuwa mbunge mzuri wa jimbolake."

"Lakini kwa misukosuko hii asipokuwa na roho ngumu anaweza kukata tamaa."

Prof. Bana ambaye ni mtaalamu wa sayansi ya siasa, alisema kiongozi huyo bado ana nafasi ya kurudi kufundisha vyuoni kwa kuwa ni msomi mzuri wa miamba na madini na kwamba ameshajizolea umaarufu kwenye medali za siasa na kufahamika, ikiwamo uwezo wake kitaaluma.

"Kama mwaka 2020 Rais John Magufuli atapewa ridhaa ya kuendelea kuongoza, Profesa Muhongo hawezi kurudi tena kwenye uwaziri," alisema Prof. Bana hivyo, akitafakari ni vizuri akarudi chuoni kutoa uzoefu wake wa serikalini na kuendelea na umahiri wake wa miamba na madini na kuachana na siasa.

"Siasa na madaraka ya uwaziri ameshaonja, machungu yake ameyaonja, abaki kuwa mshauri... aachane na siasa za leo ambazo ni ngumu sana.
"Kwa wasomi tumezoea kusema baibui ni baibui, lakini kwenye siasa ni tofauti."

Prof. Bana alisema ni wazi hata hivyo kuwa wakati anaingia kwenye siasa, Prof. Muhongo alitegemea mambo hayo kwa kuwa siasa hazina adui wala rafiki wa kudumu.

"Aliingia kwenye siasa na kuaminiwa kwa kiasi kikubwa, akapewa nafasi kubwa serikalini kama ilivyokuwa kwa Profesa Anna Tibaijuka.

"Usomi ndiyo uzoefu wake wa muda mrefu, lakini kama tujuavyo siasa za nchi changa kama yetu unakuwa na madaraka ambayo wengi wanayapigania. Nirahisi kukuangusha kwa namna yoyote."

Kwa upande wake Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), alisema hatima ya Prof. Muhongo kisiasa itajukana baada ya kutolewa kwa ripoti ya uchunguzi wa kamati huru kwenye mchanga wa madini.

Alisema kwa sasa ni vigumu kuthibitisha kumhukumu mbunge huyo kwa kuwa changamoto ya kutonufaika kwa Tanzania katika madini yake ilisababishwa na mawaziri waliomtangulia wizarani hapo na kitendo cha serikali kuwasilisha bungeni miswada ya sheria za madini na nishati kwa hati za dharura na kupitishwa haraka bila wabunge kupata muda mwingi wa kuijadili.

"Kifo cha Prof. Muhongo kisiasa ni pale tu ikiundwa kamati huru ya kuchungumza mchanga wa madini na kubaini alihusika katika uzembe uliolisababishia taifa hasa ya matrilioni ya shilingi," alisema.

"Kwa sasa ni vigumu kumhukumu kwa sababu makosa yalifanywa na mawaziri waliomtangulia na serikali ya CCM iliyotengeneza sheria za madini zinazonufaisha wawekezaji."

WAPIGA KURA
Mhadhiri mwingine wa siasa UDSM, Dk. Bashiru Ally alisema bado Prof. Muhongo ana nafasi ya kwenye ulimwengu wa siasa kwa kuwa wenye kuamua hatima yake kisiasa ni wapiga kura wa jimbo la Musoma Vijijini.

Alisema kiongozi huyo amewajibishwa kwa uwaziri na siyo ubunge hivyo ataendelea kuwatumikia wananchi wake ambao wana imani naye.

Alisema mkataba wake na wananchi unaisha baada ya miaka mitano na hatima yake kisiasa iko mikononi mwa wapigakura wake kwa muda wa sasa na miaka ijayo kama atapenda kuendelea kuwatumikia.

Alipotafutwa na Nipashe jana kuzungumzia hatima ya Prof. Muhongo kisiasa, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, alisema mwanasiasa mwenzake huyo bado ana nafasi ya kurejea kwenye Baraza la Mawaziri na hata kuwa kiongozi mkubwa nchini.

"Prof. Muhongo bado ana nafasi ya kusaidia nchi kama mbunge na anaweza kurudi kwenye Baraza la Mawaziri au hata nafasi kubwa zaidi ya hiyo. Mungu tu ndiye anajua mbeleni pakoje," alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini.

Nipashe pia ilimtafuta Katibu wa Wabunge wa CCM, Jasson Rweikiza, ambaye alisema Prof. Muhongo bado anayo nafasi ya kuitumikia nchi akiwa mbunge.
Alisema kuwa katika uchaguzi mkuu uliopita, mwanachama mwenzake huyo aliomba ubunge na si uwaziri.

"Lakini baada ya kupata uwaziri, Rais aliona anafaa kumpangia kazi nyingine zaidi, akaamua kumpa ili amsaidie lakini sasa Rais ameona kazi hiyo aliyompa, ameshindwa kuifanya na ameamua kumuondoa," alisema.

Alisema kuondolewa kwenye uwaziri siyo mwisho wa safari yake kisiasa na haimuondolei ubunge wake kwa kuwa wapo wengi waliokuwa kwenye uwaziri na sasa wapo kama wabunge wa kawaida.

"Wapo wengi walikuwa kwenye uwaziri wakaondolewa kama Ezekiel Maige, Prof. Anna Tibaijuka na Andrew Chenge, na wengine wengi tu lakini wakagombea ubunge bila shida yoyote na wamepata," alisema.

Rweikiza ambaye pia ni Mbunge wa Bukoba (CCM), alisema wananchi wa Jimbo la Musomo Vijijini walimpa ubunge Prof. Muhongo ili awatumikie na siyo uwaziri, hivyo anaweza kugombea na akarejea tena bungeni katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020.

Naye Mbunge wa Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile (CCM), alisema Prof. Muhongo bado anayo nafasi ya kurejea tena kwenye Baraza la Mawaziri kwa kuwa mchango wa utaalamu wake ni muhimu kwa taifa.

Alisema ubobezi wa Prof. Muhongo katika jiolojia ni muhimu si tu kwa Tanzania, bali duniani, hivyo mchango wake bado unahitajika katika maendeleo ya nchi.

"Sidhani kama huu ndiyo mwisho wa Prof. Muhongo kisiasa. Kumbuka katika uchaguzi uliopita, aliomba ubunge na si uwaziri," alisema na kufafanua zaidi:

"Nafikiri sasa atakuwa na wakati mzuri zaidi wa kuwatumikia wananchi wa jimbo lake. Anaweza kugombea tena uchaguzi ujao na kurejea bungeni kisha kupewa nafasi nyingine ya kuitumikia serikali akiwa waziri.

"Ally Hassan Mwinyi alijuzulu uwaziri wa kutokana na vifo vya wafungwa na hivi karibuni tumeshuhudia mmoja wa mawaziri wa Ubelgiji akijiuzulu kutokana na shambulizo la kigaidi, Huko ni kuwajibika kutokana na changamoto iliyotikea.

"Prof. Muhongo bado anayo nafasi ya kuwania ubunge, kurejeshwa kwenye Baraza la Mawaziri na hata nafasi nyingine kubwa serikalini."

TEGETA ESCROW
Kutumbuliwa kwa Muhongo kunakuja miaka miwili na miezi minne kamili tangu ajiuzulu nafasi hiyo kufuatia kashfa ya uchotwaji wa mabilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Januari 24, 2015.

Prof. Muhongo alimuandikia barua ya kujiuzulu Rais wa nne, Jakaya Kikwete akieleza nia yake ya kujiuzulu baada ya kujadiliwa na kuazimiwa bungeni, kwa sababu “nataka nchi isonge mbele”.

Dalili kwamba Prof. Muhongo angeondoka na matokeo ya uchunguzi wa kamati iliyoongozwa na Profesa Mruma zilikuja mapema Ikulu siku hiyo baada ya Rais Magufuli kumtaka ajipime.

“Ninampenda sana Profesa Muhongo, lakini pia ni rafiki yangu, lakini kwenye hili ajifikirie! Aji-asses (ajitathimini) na bila kuchelewa nilitaka aachie madaraka,” alisema Rais Magufuli akionekana mwenye huzuni.

Muhongo ni Mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini kwa tiketi ya CCM, ambaye alichaguliwa mwaka 2015.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Picha: Mwili wa Ivan Ssemwanga ulivyowasili Uganda.

Hatimaye mwili wa tajiri Ivan Ssemwanga aliyefariki wiki iliyopita nchini Afrika Kusini kutokana na ugonjwa wa moyo umewasili Jumapili hii nchini Uganda kwa ajili ya kufanyiwa mazishi.
Mwili hu uliwasili majira ya mchana katika gari aina ya A-Plus Mercedes-Benz wakitokea katika uwanja wa ndege huku magari mengi ya kifahari yakiongozana na msafara huo.

Zari ambaye alizaa na marehemu watoto watatu akiwemo Quincy, Raphael na Pinto aliongozana na wanae hao katika msafara huo. Ivan anatarajiwa kuzikwa kesho (Jumanne). Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Korea Kaskazini Yarusha Kombora Kuelekea Japan.

Korea Kaskazini imerusha kombora la masafa mafupi, ambalo ni la tatu kurushwa na taifa hilo katika kipindi cha wiki tatu.

Kombora hilo aina ya Scud lilipaa umbali wa kilomita 450 (maili 280) kabla ya kuanguka katika maeneo ya bahari ya Japan, hatua iliyoifanya Japan kulalamika vikali.

Wachambuzi wanasema jaribio hilo ni ishara kwamba Korea Kaskazini inapiga hatua katika kuunda makombora yanayoweza kubeba mabomu.

Korea Kaskazini imeendelea kukiuka azimio la Umoja wa Mataifa linaloizuia kufanya majaribio yoyote ya makombora au silaha za nyuklia, na imeongeza kasi na idadi ya majaribio hayo katika miezi ya karibuni.

Kikosi cha Jeshi la Marekani katika Bahari ya Pasifiki kimesema kombora hilo lilirushwa kutoka Wonsan, Korea Kaskazini na lilipaa kwa karibu dakika sita kabla ya kuanguka.

Waziri Mkuu wa Japan Yoshihide Suga amewaambia wanahabari kwamba kombora hilo lilianguka katika eneo la bahari lililo kati ya visiwa vya Sado na Oki nchini Japan, katika eneo la pamoja la kiuchumi la visiwa hivyo viwili.

Msemaji wa Jeshi la Korea Kusini amesema kombora hilo lilipaa juu hadi kilomita 120 angani, na tathmini inaendelea kubaini “idadi hasa ya makombora yaliyorushwa,” ishara kwamba huenda nchi hiyo ilirusha zaidi ya kombora moja.

Jaribio hilo la kombora limetekelezwa siku moja baada ya vyombo vya habari vya serikali nchini Korea Kaskazini kusema nchi hiyo ilifanyia majaribio mfumo mpya wa kudungua ndege za kivita, na kutoa picha za kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un alishuhudia majaribio hayo.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Hali ya Mchezaji wa Simba Jonas Mkude Baada ya Kupata Ajali iliyoua Shabiki wa Simba .

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude anaendelea vizuri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ambako amefanyiwa vipimo na kupata matibabu kwa ujumla.

Mkude alikuwa kati ya watu sita waliopata ajali iliyotokea jana na shabiki mmoja wa Simba, Shose Fidelis amepoteza maisha.

Ajali hiyo ilitokea siku moja tu baada ya Mkude kuingoza Simba kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

Kiungo huyo alifikishwa Muhimbili kwa matibabu zaidi ili kupata uhakika.

Lakini hali yake inaonekana kuimarika na imeelezwa jana alikuwa akilalama sana maumivu lakini sasa ana nafuu.

“Anaendelea vizuri, labda tuangalie kidogo kujua zaidi,” alisema mmoja wa viongozi wa Simba.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Kamanda Sirro Aapishwa Rasmi Kuwa IGP.

Tazama moja kwa moja kutoka Iluku muda huu, leo Mei, 29, 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha rasmi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), kufuatia uteuzi wake uliofanyika jana Mei 28, 2017.

Kabla ya uteuzi huo, Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam. Bofya hapa kutazama



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Sunday 28 May 2017

Abdi Banda Awaaga Mashabiki na Wapenzi wa Simba..Adai Ataikumbuka Simba Daima.

Beki wa timu ya Simba SC Abdi Banda ameaga rasmi jana baada ya timu yake kushinda Kombe la Shirikisho kwa kuipiga bao 2 kwa moja Mbao FC katika mchezo uliofanyika mjini Dodoma 
Abdi Banda anasema imefika wakati sasa anapaswa kutafuta maisha mengine nje ya klabu hiyo au sehemu nyingine huku akisema atakumbuka mambo mengi mazuri katika klabu hiyo 
"Ahsante Mungu nashukuru kwa hiki ulichotujaalia. Zawadi ya mashabiki wa Simba nawaachia acha na mimi nitafute maisha sehemu nyingine. Nitamiss vitu vingi hasa 'support' yenu na moyo wenu wa uvumilivu ahsanteni sana na kwaherini" aliandika Abdi Banda


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Samatta Apiga Bao, KRC Genk ikishinda 3 - 0.

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta usiku wa jana amefunga bao la tatu timu yake, KRC Genk ikishinda 3-0 ugenini dhidi ya Sint-Truiden Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk, Ubelgiji kwenye mchezo wa Kundi B kuwania tiketi ya kucheza michuano ya UEFA Europa League mwakani.

Hilo linakuwa bao lake la 20 Samatta katika mechi 59 tangu ajiunge na Genk Januari mwaka jana akitokea TP Mazembe ya DRC. Na kwa ushindi huo, Genk inaendelea kuongoza Kundi B katika kuwania tiketi ya Europa League 2018 ikifikisha pointi 26 baada ya kucheza mechi 10.

Samatta alifunga lake dakika ya 55 jana akimalizia pasi ya beki wa Jamhuri ya Czech, Jakub Brabec, baada ya kiungo mkongwe Mbelgiji mwenye umri wa miaka 36 Thomas Buffel kufunga la kwanza dakika ya 32 na kiungo Mholanzi, Jean-Paul Boetius kufunga la pili dakika ya 43.

Kati ya mechi hizo 59, michezo 18 Samatta alicheza msimu uliopita na 41 msimu huu na kati ya hiyo, ni michezo 37 tu ndiyo alianza, 10 msimu uliopita na 27 msimu huu.

Mechi 21 kati ya hizo alitokea benchi, nane msimu uliopita na 13 msimu huu, wakati 11 hakumaliza baada ya kutolewa, tano msimu uliopita na sita msimu huu na katika mabao hayo 19, 14 amefunga msimu huu na tano msimu uliopita.

Kikosi cha KRC Genk jana kilikuwa: Ryan, Uronen, Colley/Janssens dk84, Brabec, Castagne, Berge, Malinovskyi/Heynen dk70, Writers, Boetius/Naranjo dk76, Buffalo na Samatta.

STVV: Pirard, Mechele, The Petter, Peeters/Sart dk62, Gerkens, Ceballos/Abrahams dk77, Dussaut/Bagayoko dk71, Kotysch, Fernandes, Vetokele na Bolingoli.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Askofu Gwajima Afunguka Mazito Sakata la Madini Katika Mchanga.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amefunguka na kusema Watanzania tumerogwa kwani tuna kila kitu ambacho kinaweza kutufanya kuwa mbele kimaendeleo lakini siku zote tumekuwa nyuma.
 
Mchungaji Gwajima amesema hayo leo wakati akitoa mahubiri yake kwenye kanisa lake na kusema Watanzania wamerogwa kwani wanapenda sana maandamano na vitu visivyo na msingi kuliko kufanya kazi, anasema Tanzania ina vitu na mali nyingi
 
“Ukitaka kuingoza Tanzania lazima uwe na moyo wa mwendawazimu maana watu wake wamerogwa mpaka wamerogeka, ni nchi ya waliorogeka tu unaweza kwenda kusaini mikataba ya madini, nenda kasaini mkataba wa madini Japan au Kenya uone, sisi Tanzania Watanzania tunauza ubuyu na karanga mzungu anabeba kila kitu, sisi tumerogwa. Tanzania ina mito mingi yenye maji lakini maji yanakwenda tu, watu hawalimi” alisema Gwajima
 
Mbali na hilo Gwajima amempa tano Rais Magufuli kwa kitendo chake cha kuzuia makontena ya madini na kusema ni hatua nzuri na Rais ashikirie hapo hapo
 
“Hata kama tulisaini mikataba ya kufa mtu sawa tu Rais ashikirie hapo hapo hakuna kuruhusu makontena mpaka wazungu macho yao yawe mekundu, kama hatujawa tayari kuchimba madini tuyaache kwanza, wapo wanaosema sijui tutashitakiwa, sijui mikataba itatubana ondoka na makaratasi yako hapa yale madini ni ya kwetu, mwanasiasa unayetaka kulia ulie tu na ufe madini hakuna kwenda” alisema Gwajima
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Pichazzz Hivi Ndivyo David Beckham Alivyotua Bongo Kimya Kimya.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

#BREAKING NEWS>>KIUNGO WA SIMBA JONAS MKUDE APATA AJALI MBAYA YA GARI AKITOKEA DODOMA.

Kiungo wa Simba,Jonas Mkude amepata ajali mbaya maeneo ya Mitibora,Dumila mkoani Morogoro akiwa njiani kurejea Dar es Salaam kuiwahi Taifa Stars. Taarifa za awali zinasema ameumia maeneo ya shingoni, amekimbizwa kwenye hospitali ya mkoa wa Morogoro pamoja na majeruhi wenzie ambao baadhi wana hali mbaya. 

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa


                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Saturday 27 May 2017

Diamond Amfariji Zari Kufuatia Msiba Mzito Alioupata.

Diamond Platnumz ametuma ujumbe wa kumfariji mama watoto wake wake, Zari, kufutia msiba mzito wa Ivan ambaye ni baba watoto watatu wa Zari.

Diamond akiwa na Zari pamoja na watoto wa marehemu, Ivan. Picha hii ni yazamani

Kumekuwa na mengi yanazungumzwa kwenye mitandaoni ya kijamii kuhusu Zari, Ivan na Diamond Platnumz na mengine yamepelekea kuwakera baadhi ya mashabiki wao wa damu.

Diamond ameandika ujumbe wa kumtia moyo Zari The Boss Lady na kuonyesha yupo naye pamoja katika kipindi hicho kigumu anachopitia.


“Natamani ningekukumbatia badala ya kukutumia sms,najua upo kwenye wakati mgumu na ni mpweke, jua kwamba hauko mwenyewe, niko na wewe hapa usiku na mchana,” aliandika Diamond Instagram.

Ivan amefariki dunia Alhamisi hii nchini Afrika Kusini baada ya kuugua ugonjwa wa moyo kwa wiki kadhaa.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

Download wimbo mpya wa HaMaKaNTa unaoitwa "NIPO TAYARI".

https://my.notjustok.com/track/download/id/222074

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

New Video HaMaKaNTa unaoitwa "NIPO TAYARI".

New Video MaKaNTa -NIPO TAYARI.
https://my.notjustok.com/track/download/id/222074

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

#Breaking News>>>Majina ya Waliochagulia na Serikali Don Bosco Oysterbay yako hapa.

SELECTED APPLICANTS FOR THE GOVERNMENT COURSES

 SELECTED APPLICANTS FOR THE GOVERNMENT COURSES
Electrical: 80
Welding :55
Carpentry : 55
Motor Vehicle Mechanics : 50
Mechanics : 80
Tailoring : 240
Computer ( Tehama) : 170

Total : 730
 SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN COMPUTER AT OYSTERBAY
NO NAME SEX DEPARTMENT REMARK
1 PENINA MASINGILI F COMPUTER DAR ES SALAAM
2 NEEMA MICHAEL MOLLEL F COMPUTER DAR ES SALAAM
3 HAMDI TWAHA F COMPUTER DAR ES SALAAM
4 ESTHER N. JULIUS F COMPUTER DAR ES SALAAM
5 SOPHIA KASHINDI OMARY F COMPUTER DAR ES SALAAM
6 NDIMBUSSI CAIRO MWANYINGU F COMPUTER DAR ES SALAAM
7 VALENTINA JOSEPH MMASSY F COMPUTER DAR ES SALAAM
8 ADAM BAKARI LIBOBE F COMPUTER DAR ES SALAAM
9 IRENE EBENEZA KIMARO F COMPUTER DAR ES SALAAM
10 YASSIR NASSOR JUMA F COMPUTER DAR ES SALAAM
11 NASRA HAJI F COMPUTER DAR ES SALAAM
12 MWANTUMU SEIF SHABAN F COMPUTER DAR ES SALAAM
13 ZENA MOHAMED MSELULA F COMPUTER DAR ES SALAAM
14 NEEMA PRIMU F COMPUTER DAR ES SALAAM
15 AGNESS MAZIKU F COMPUTER DAR ES SALAAM
16 MUHAMED SALUM KIBWANA F COMPUTER DAR ES SALAAM
17 HADIA HASSAN SAID F COMPUTER DAR ES SALAAM
18 DORICAS JOSEPH SADINA F COMPUTER DAR ES SALAAM
19 CHRISTINA GERALD KABWA F COMPUTER DAR ES SALAAM
20 HELENA GODFREY MWAIMU F COMPUTER DAR ES SALAAM
21 ALLI ABDALA JUMA F COMPUTER DAR ES SALAAM
22 HAFSA HATIBU KIZENGA F COMPUTER DAR ES SALAAM
23 JOYNESS AMON MAHALILA F COMPUTER DAR ES SALAAM
24 MARIAM JUMA YUSUPH f COMPUTER DAR ES SALAAM
25 MARIAM M MDOHOMA F COMPUTER DAR ES SALAAM
26 SUZAN AUGUSTINO MUSHI f COMPUTER DAR ES SALAAM
27 JASINTHA STEPHANO MAJURA F COMPUTER DAR ES SALAAM
28 GWANTWA GODWIN MWAMASAGE F COMPUTER DAR ES SALAAM
29 MAGRET SEMU MDUMA F COMPUTER DAR ES SALAAM
30 LILIAN STANLAUS MBAYI F COMPUTER DAR ES SALAAM
31 GASTA BARNABAS MAPUNDA F COMPUTER DAR ES SALAAM
32 MARIAM RASHID MHADISA F COMPUTER DAR ES SALAAM
33 TAUSI HAMIS MASASA F COMPUTER PWANI
34 NEEMA R. MLANDANI F COMPUTER DAR ES SALAAM
35 ROZINA IVAN URIO F COMPUTER DAR ES SALAAM
36 FATUMA HARUNA SHANGLA F COMPUTER DAR ES SALAAM
37 ROZINA REGINALD ALEX F COMPUTER DAR ES SALAAM
38 JUDITH PAUL LEKULE F COMPUTER DAR ES SALAAM
39 MARIAM MOHAMED ATHUMAN F COMPUTER DAR ES SALAAM
40 SHARIFA R  ABDUL F COMPUTER DAR ES SALAAM
41 SALMA MASOULD RAMADHAN F COMPUTER DAR ES SALAAM
42 AGNESS DANIEL  F COMPUTER DAR ES SALAAM
43 MWANAHAMISI SUDI HARUBU F COMPUTER DAR ES SALAAM
44 NEEMA AMOS F COMPUTER DAR ES SALAAM
45 JOYCE REWARD WILLIAM F COMPUTER DAR ES SALAAM
46 ARAFFA SEIF MOHAMED F COMPUTER DAR ES SALAAM
47 PAULINA ERNEST LADISLAUS F COMPUTER DAR ES SALAAM
48 JOHARI J KISSINA F COMPUTER DAR ES SALAAM
49 MERANIA R MREMI F COMPUTER DAR ES SALAAM
50 MARIASALOME R MREMI F COMPUTER DAR ES SALAAM
51 MWAJUMA JUMA F COMPUTER DAR ES SALAAM
52 HALIMA HIMID SUFIANI F COMPUTER DAR ES SALAAM
53 FATUMA RAMADHANI F COMPUTER DAR ES SALAAM
54 WITNESS IBRAHIM MWAKASABA F COMPUTER DAR ES SALAAM
55 JAMILA ATHUMANI YASIN  F COMPUTER DAR ES SALAAM
56 LOVENESS B DAVID F COMPUTER DAR ES SALAAM
57 MATRONA LUDOVIC F COMPUTER DAR ES SALAAM
58 MARIAM P FAUSTINE F COMPUTER DAR ES SALAAM
59 NEEMA ANANIA MTAMBA  F COMPUTER DAR ES SALAAM
60 NURU A LAWRENCE F COMPUTER DAR ES SALAAM
61 MAGDALENA NJWA F COMPUTER DAR ES SALAAM
62 KHABIBA ISSA RAMADHANI F COMPUTER DAR ES SALAAM
63 BEATRICE KAVISHE COSMAS F COMPUTER DAR ES SALAAM
64 NEEMA MKULU F COMPUTER DAR ES SALAAM
65 AVENTINA KAKULU CHIGANGA F COMPUTER DAR ES SALAAM
66 DORDTHEA PAUL F COMPUTER DAR ES SALAAM
67 ANETH LUSHOKE PAUL F COMPUTER DAR ES SALAAM
68 KATARINA APOLNARY KAVISHE  F COMPUTER DAR ES SALAAM
69 EVALINE EMANUEL SHANGA F COMPUTER DAR ES SALAAM
70 CECYLIA GEORGE F COMPUTER DAR ES SALAAM
71 YASINTA SIRI FAUSTIN F COMPUTER DAR ES SALAAM
72 REHEMA JULIAS SALILA F COMPUTER DAR ES SALAAM
73 EVELINE E NTWALE F COMPUTER DAR ES SALAAM
74 GROLY BONIVENTURE MUNISH F COMPUTER DAR ES SALAAM
75 MARY KIVAMBA F COMPUTER DAR ES SALAAM
76 HALIMA YAHYA F COMPUTER DAR ES SALAAM
77 VERONICA FABIAN DAMIAN F COMPUTER DAR ES SALAAM
78 MARIA A BONIVENTURE F COMPUTER DAR ES SALAAM
79 CATHELINE SIMON MWANJALI F COMPUTER DAR ES SALAAM
80 JOYCE LAURENCE KUMBUJA F COMPUTER DAR ES SALAAM
81 PERPETUA VITELIS YUSTO F COMPUTER DAR ES SALAAM
82 NEEMA MOHAMED HAMZA F COMPUTER DAR ES SALAAM
83 MARYANNE JACKSON F COMPUTER DAR ES SALAAM
84 HASSAN SALUM MOHAMED M COMPUTER DAR ES SALAAM
85 JULIETH CONSTATINO M COMPUTER DAR ES SALAAM
86 GERARD CONSTANTIN M COMPUTER DAR ES SALAAM
87 GEORGE GODFREY KIMARO M COMPUTER DAR ES SALAAM
88 RAMADHANI SELEMANI HAMDANI M COMPUTER DAR ES SALAAM
89 SADICK IBRAHIM MBATTO M COMPUTER DAR ES SALAAM
90 TAUSI ABDALLAH MUHAMI M COMPUTER DAR ES SALAAM
91 PETER JOSEPH MAHENDE M COMPUTER DAR ES SALAAM
92 SILVANO ERNEST MPINGE M COMPUTER DAR ES SALAAM
93 KRISANTUS J. MAILA M COMPUTER DAR ES SALAAM
94 SHAFII ABDALLAH M COMPUTER DAR ES SALAAM
95 WILCON PIUS MTEGETA M COMPUTER DAR ES SALAAM
96 FATNA ISDORY LUWUMBA M COMPUTER DAR ES SALAAM
97 HASSAN ABDALLAH GWAJE M COMPUTER DAR ES SALAAM
98 NELSON SIMBA  RAMADHANI M COMPUTER DAR ES SALAAM
99 JOSEPH EMMANUEL M COMPUTER DAR ES SALAAM
100 FAISAL YUSUPH DUACE4 M COMPUTER DAR ES SALAAM
101 GRASSON DAVID KAZUVA M COMPUTER DAR ES SALAAM
102 AMANI IDRISSA GIZIBA M COMPUTER DAR ES SALAAM
103 ANTONIA MLELA M COMPUTER DAR ES SALAAM
104 EBENEZERY AMINIELI MUNGURE M COMPUTER DAR ES SALAAM
105 FESTO AIDAN MLELWA M COMPUTER DAR ES SALAAM
106 EDGER ALEXANDER BINAMUNGU M COMPUTER DAR ES SALAAM
107 GEORGE JOHN MSEI M COMPUTER DAR ES SALAAM
108 DENIS DEUS M COMPUTER DAR ES SALAAM
109 AYOUB EDWARD JAMES M COMPUTER DAR ES SALAAM
110 ALLY YUSSUP MKEYENGE M COMPUTER DAR ES SALAAM
111 RAFAERY MEDAD SANGU M COMPUTER DAR ES SALAAM
112 JOHN MASOME M COMPUTER DAR ES SALAAM
113 EDWARD RUTAYABULWA M COMPUTER DAR ES SALAAM
114 COLIN CHARLES KIWIA M COMPUTER DAR ES SALAAM
115 GEORGE W. NYANGASA M COMPUTER DAR ES SALAAM
116 STEPHAN M. MUNISHI M COMPUTER DAR ES SALAAM
117 DAVID RAPHAEL KYEBYARA M COMPUTER DAR ES SALAAM
118 HORACE S. CHIOMBE M COMPUTER DAR ES SALAAM
119 ABUBAKAR HASSAN HUSSION M COMPUTER DAR ES SALAAM
120 ABRAHAM BARAZA CHAMA M COMPUTER DAR ES SALAAM
121 WILLIAM PETER SIZYA M COMPUTER DAR ES SALAAM
122 GIRBART AVITUS SANGAWE M COMPUTER DAR ES SALAAM
123 ISACK ISDORY HONGOLE M COMPUTER DAR ES SALAAM
124 MIKIDADI JUMA KIMWAGA M COMPUTER DAR ES SALAAM
125 DAUDI M. NGOBOLA M COMPUTER DAR ES SALAAM
126 ALFONSI EDMUNDI CHIKONDO M COMPUTER DAR ES SALAAM
127 THOMAS LUCAS ROZZANA M COMPUTER DAR ES SALAAM
128 HERIARD S. MWALLOW M COMPUTER DAR ES SALAAM
129 ALLY NASSORO ALLY M COMPUTER DAR ES SALAAM
130 PAUL ISCAL MAKILIKA  M COMPUTER DAR ES SALAAM
131 FRANK DANIEL MASING'OTI M COMPUTER DAR ES SALAAM
132 SULTAN SHABAN JONGO M COMPUTER DAR ES SALAAM
133 OMARY RASHID SHABAN  M COMPUTER DAR ES SALAAM
134 ELIBARIKI ANTHONY MBUGI M COMPUTER DAR ES SALAAM
135 SIMON R KAMGUNA M COMPUTER DAR ES SALAAM
136 RAJABU JUMANNE KAPANGA M COMPUTER DAR ES SALAAM
137 JAMES ABDUL MKOMWA M COMPUTER DAR ES SALAAM
138 DIOCLESS JOHN LUKIZA M COMPUTER DAR ES SALAAM
139 EMILY PETER TENDELA M COMPUTER DAR ES SALAAM
140 SAMWELI THOMAS MKINGA M COMPUTER DAR ES SALAAM
141 PROSPER CRISTOPHER KOBELO M COMPUTER DAR ES SALAAM
142 ABRAHMAN RAMADHAN KHALFAN M COMPUTER DAR ES SALAAM
143 ALTER WILHELM HAONGA M COMPUTER DAR ES SALAAM
144 EZEKIA GERVAS MLWALE M COMPUTER DAR ES SALAAM
145 ATHUMAN ABDALLAH MOHAMED M COMPUTER DAR
146 MESHAKI MUSSA ABASI M COMPUTER DAR
147 JUMA BAKARI ALLY M COMPUTER DAR
148 SAMWELI ALBERT MAKANGIRIRYA M COMPUTER DAR
149 ANDREW M CHAULECHI M COMPUTER DAR
150 JUMA SAQWARE M COMPUTER DAR
151 ISSA ATHUMANI MOHAMED M COMPUTER DAR
152 BARAKA WAMBURA LAZARO M COMPUTER DAR
153 PAUL MICHAEL MBULI M COMPUTER DAR
154 ADILI WAZILI HAMISI M COMPUTER DAR
155 SEWA SELEMANI NYAWAYA M COMPUTER DAR
156 HASSAN RASHID MKWIJI M COMPUTER DAR
157 ANDREW PAUL M COMPUTER DAR
158 PASCAL FREDRICK MNKANDE M COMPUTER DAR
159 EVARIST JOSEPH GABRIEL M COMPUTER DAR
160 RICHARD GEOFLEY SEMBE M COMPUTER DAR
161 ERICK YUSTO NZALALILE M COMPUTER DAR
162 GEORGE JOSEPH NYANGI M COMPUTER DAR
163 JORAM ARAM MARANGO M COMPUTER DAR
164 STEPHENE CHANJA M COMPUTER DAR
165 EDGAR JOHN LUGANGA M COMPUTER DAR
166 BARAKA RENATUS WILILO M COMPUTER DAR
167 RAMADHAN BAKARI ATHUMAN M COMPUTER DAR
168 RAHIM ATHUMAN HAYESHI M COMPUTER DAR
169 MNANKA STEPHANO MASWI M COMPUTER DAR
170 RAJABU ASHIM KIANGAZI M COMPUTER DAR

                      

SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN TAILORING AT OYESTERBAY VTC

N0 NAME SEX DEPARTMENT REGION APPLYING FROM
1 ABUBAKARI . K. DIGASI M TAILORING  DAR
2 ADELA .A.MANALA F TAILORING  SHINYANGA
3 ADELINA  CARLOS F TAILORING  DAR
4 ADVENTINA Z. CHAMBU F TAILORING  MWANZA
5 AGINESS . Y. ATHUMANI F TAILORING  LUSHOTO
6 AGONZA . A . TAREMWA F TAILORING  KAGERA
7 AISHA  .H. MUHAMED F TAILORING  MTWARA
8 AISHA  .M .  RAMADHANI F TAILORING  DAR
9 ALESTIDA M. BIGILA F TAILORING  KATAVI
10 ALISTIDIA  ALBOGAST F TAILORING  KAGERA
11 AMINA  . J . SIMBA F TAILORING  DAR
12 AMINA . .J . RAMADHANI F TAILORING  DAR
13 AMINA . J . OMARY F  TAILORING  TANGA
14 AMINA .H. SADIKI F TAILORING  DAR
15 AMINA .M. JUMA F TAILORING  TANGA
16 AMINA .O . RAMADHANI F TAILORING  MOROGORO
17 AMINA .S. HAMISS F TAILORING  LINDI 
18 AMINA .S. SALIMA F TAILORING  ARUSHA
19 ANGEL . A .SHIJA F TAILORING  DAR
20 ANJELINA . S.  KOMBA F TAILORING  DAR
21 ANNA  . F.  KAJANGE F TAILORING  DAR
22 ANNA JOHN TABU F TAILORING  DAR
23 ANNAMARIA . K . HAULE F TAILORING  SHINYANGA
24 ANNASTAZIA . M . PRISICUS F TAILORING  DAR
25 ANWALITHA .A. FIDELIS F TAILORING  KAGERA
26 ASMIN ISMALY F TAILORING  DAR
27 AZIZI . A . KAZEMBE M TAILORING  KILIMANJARO
28 BEATRICE  .G .  NJAITE F TAILORING  MOROGORO
29 BENIGINA . B. GAMA F TAILORING  RUVUMA
30 BENISIA  EDWARD F TAILORING  MBEYA
31 BIUBWA .S. JUMA F TAILORING  DAR
32 CECILIA . L . NGATWIKA F TAILORING  DAR
33 CECILIA .P . MTASHOBIA F TAILORING  KAGERA
34 CHIKU  . M. CHALAMANDA F TAILORING  DAR
35 CHOZI . H . MKEMBA F TAILORING  DAR
36 CLARA MALINO F TAILORING  DAR
37 CLEMENTINA .M. MUNGI F TAILORING  DAR
38 DAFROSA NDITI F TAILORING  DAR
39 DAINESS G. MWEYUNGE F TAILORING  KAGERA
40 DANIEL .C. JOHN F TAILORING  MARA
41 DAUDI .S. DAVID M TAILORING  DODOMA
42 DEVINA .I.LUWUMBA F TAILORING  IRINGA
43 DEVOTHA . D . KABYEMELA F TAILORING  KAGERA
44 DIANA S. KAUKI F TAILORING  KILIMANJARO
45 DONATA .B. TIRIGA F TAILORING  MARA
46 DORIN . E . MUSHI F TAILORING  DAR
47 DORIS .F . DUWE F TAILORING  TANGA
48 DOROTHEA  TITUS F TAILORING  MBEYA
49 DOROTHEA .E. MBOSHA F TAILORING  KIL
50 DOTTO . M . DAMIAN F TAILORING  DAR
51 EDISON   DEOGRATIAS M TAILORING  KAGERA
52 EDWIGA . P . MTEI F TAILORING  KILIMANJARO
53 ELIADA . J . MKAMA F TAILORING  DAR
54 ELIZABERTH G. MLANGWA F TAILORING  TANGA
55 ELIZABETH . S . JOSEPH F TAILORING  DAR
56 EMMACULETI .B.MBUNDA F TAILORING  MBEYA
57 EMMANUEL . P . MIHAMBO F TAILORING  DAR
58 ESTA .J. ELIAS F TAILORING  DAR
59 ESTER . E . MASAWE   F TAILORING  KILIMANJARO
60 EVA  .  G . CHIUYO F TAILORING  DAR
61 EVA S. CHIYANGA  F TAILORING  DOM
62 EVODIA . C .KA MGISHA F TAILORING  KAGERA
63 FADHILA . R . GAO F TAILORING  TANG
64 FAINECY  . I . MDENYE F TAILORING  IRINGA
65 FARAJA S. TEMBO F TAILORING  ARUSHA
66 FATUMA  . R.  BAKARI F TAILORING  PWANI
67 FATUMA . S. IBRAHIM F TAILORING  DAR
68 FATUMA .M. MUNDE M TAILORING  LINDI 
69 FAUDHIA D. KISESA F TAILORING  DAR
70 FAUSTINE . S . MATIASI M TAILORING  MTWAR
71 FELISTER .R. MPIRA F TAILORING  TANGA
72 FLORA  . T . USA NGA F TAILORING  MOROGORO
73 FLORA GODIWIN F TAILORING  KAGERA
74 FLORENCE .S. MWANGAZA F TAILORING  DAR
75 FROLA  ANATORY F TAILORING  KAGERA
76 GENOVEVA P. MASILAYO F TAILORING  KILIMANJARO
77 GLORIA JULIUS STEPHEN F TAILORING  DAR
78 GODIFATH . W . BAYONA F TAILORING  KAGERA
79 GRACE . D . SHIRIMA F TAILORING  KILIMANJARO
80 GRACE B. KATABALO F TAILORING  DAR
81 GRORIA  MUSHI F TAILORING  MWANZA
82 HAFSWA . B . IDDI F TAILORING  KILIMANJARO
83 HALIMA .S.MMINGE F TAILORING  DAR
84 HAPPINESS . E. MAKUNGA F TAILORING  PWANI
85 HAPPINESS . P .MUTULO F TAILORING  DAR
86 HAPPY  . F . SIPUKA F TAILORING  DAR
87 HASSAN R. AMBARI M TAILORING  PWANI
88 HAWA H. SELEMAN F TAILORING  SINGIDA
89 HELLENA . A . MWISHONE M TAILORING  DAR
90 HENRY .Y. MDEKWA F TAILORING  IRINGA
91 ILANDA  MANYANGA F TAILORING  DAR
92 IMAKULATHA . B . NDUNGULU F TAILORING  RUVUMA
93 IRINE . A. MWAKISU F TAILORING  DAR
94 JACKLINE .V. LIKANAMOTO F TAILORING  MOROGORO
95 JANETH . E . KOMBA F TAILORING  DAR
96 JENISIA ALLY M TAILORING  MOROGORO
97 JOISE . J . RAMADHANI F TAILORING  MOROGORO
98 JOSEPHINE FRANCIS F TAILORING  KIGOMA
99 JULITHA .L. ATHANASI F TAILORING  MAR
100 JUSTINA TRESPHORY F TAILORING  KAGERA
101 KERVINI .P . KIMARIYO F TAILORING  DOM
102 KHADIJA . S . CHANDE F TAILORING  MOROGORO
103 KHADIJA.R. ALLY M TAILORING  DAR
104 KULUTHUM SAID F TAILORING  DAR
105 KURUDHUMU .A . SHEMMEA F TAILORING  DAR
106 LATIFA . A . WAKULICHOMBE F TAILORING  DAR
107 LATIFA .S . ALLY F TAILORING  DAR
108 LEAH .L . MARKO F TAILORING  GEITA
109 LIGHTNESS J. LUCAS F TAILORING  TABORA
110 LIGTNESS . J . LYMO F TAILORING  DAR
111 LILIAN . J . FIDELIS F TAILORING  KAGERA
112 LILIAN .R . WILLIAMU F TAILORING  DAR
113 LILIAN C. LUANDA F TAILORING  MORO
114 LINDA  . P . TARIMO F TAILORING  DAR
115 LOYCE G. MCHUNGA F TAILORING  DAR
116 LUCY .  V.  MOLLE F TAILORING  DAR
117 LUCY .F. NDOMBA F TAILORING  DAR
118 LUCY VALENTINO F TAILORING  MOROGORO
119 LULU .S. SUNGI F TAILORING  DODOMA
120 MAGARI .K. LAULETI F TAILORING  MWANZA
121 MAGDALENA .D. ELIAS F TAILORING  SHINYANGA
122 MAGDALENA .M. DAUD F TAILORING  LINDI 
123 MAGRETH . M. FRANSCIS F TAILORING  MOROGORO
124 MAGRETH A. SIZYA F TAILORING  DAR
125 MARIA  PAGAMA F TAILORING  DAR
126 MARIA . A . KALUTA F TAILORING  KIGOMA
127 MARIA .E. KINGU F TAILORING  SINGIDA
128 MARIA .S. KAMINYOGE F TAILORING  MBEYA
129 MARIA N. BAYO F TAILORING  DODOMA
130 MARIAM  .S. RASHIDI F TAILORING  DODOMA
131 MARIAM .H. ALLY F TAILORING  DAR
132 MARIAM .H.KAPAMBWA F TAILORING  DAR
133 MARIAMU  . M . MASALU F  TAILORING  GEITA
134 MARIAMU. H . JUMA F TAILORING  DAR
135 MARTHA . S . GAMA F TAILORING  RUVUMA
136 MATHA  METHOD F TAILORING  MOROGORO
137 MECRINA .E. RASHID F TAILORING  KIGOMA
138 MELISA .J. MWAKISAVANGA F TAILORING  DAR
139 MERCELINA . B . EXAVERY F TAILORING  MOROGORO
140 MERY GEORGE NJALALE F TAILORING  DAR
141 MIRIUM S. KWEMBE F TAILORING  DAR
142 MOHAMEDI ABDULY F TAILORING  DAR
143 MONICA .A . NKWALA F TAILORING  DAR
144 MOSHI   ATHUMAN F TAILORING  DAR
145 MWAHAMISI .S . MWEYO F TAILORING  DAR
146 MWAIDA.F. KAMETA F TAILORING  MOROGORO
147 MWANAHAMISI R. HUSSEIN F TAILORING  PWANI
148 MWANEMA .A. OMARI F TAILORING  DAR
149 MWANTUMU MUSSA ZUBERI F TAILORING  TANGA
150 MWENI .D. ISSA F TAILORING  TANGA
151 NAOMI  . A . KISASA F TAILORING  SINGIDA
152 NASIRA . J . KILIKAYA F TAILORING  DAR
153 NASMA .J. UGUMBA F TAILORING  DAR
154 NASRA.S. MKUMBO F TAILORING  DAR
155 NEEMA  MAGESE F TAILORING  DAR
156 NEEMA . H . MWINIMJUMA F TAILORING  DAR
157 NEEMA . Y .TARIMO F TAILORING  MANYARA
158 NEEMA .M. CHUSI F TAILORING  DAR
159 NEEMA BONIFACE MWAKALINGE F TAILORING  MBEYA
160 NEEMA MRIMI F TAILORING  MARA
161 NUNI . H . ABEDI F TAILORING  DAR
162 NURU  GABRIEL F TAILORING  DAR
163 NURU JUMA F TAILORING  DAR
164 NYAKWIYOMYA  MASUI  F TAILORING  DAR
165 NYASINTSA . M. MALEMBO F TAILORING  MWANZA
166 OBED    KATUNZI M TAILORING  KAGERA
167 OLIVAR .  W. KITWIKA F TAILORING  MOROGORO
168 ONESTA.D.OBADIA F TAILORING  KIGOMA
169 OVIRY  .E.  MATONYA F TAILORING  DODOMA
170 PENDO J. HAULE F TAILORING  DAR
171 PERPETUA MICHAEL F TAILORING  DAR
172 PILI .R. HSSEN F TAILORING  PWANI
173 PILI RAMADHAN HUSSEION F TAILORING  PWANI
174 RAJAY . W . ISSA F TAILORING  PWANI
175 RAYA . K . MUSSA F TAILORING  DAR
176 RHDDA EMMANUEL F TAILORING  KAGERA
177 ROSA . O .SAOKE F TAILORING  MARA
178 ROSEMARRY .B . LEVOOSE F TAILORING  ARUSHA
179 ROSEMARRY .N. CHARLES F TAILORING  MARA
180 ROSMERY .D. WILLIAM F TAILORING  MWANZA
181 ROTHA ONOKA F TAILORING  DAR
182 RUCLESIA S. KAMUGISHA F TAILORING  BUKOBA
183 RUKIA .J. MKUMBA F TAILORING  DAR
184 SADA  .R. MGALU F TAILORING  DAR
185 SALHA  .J. MFUKO F TAILORING  DAR
186 SALMA.R.MUHAMMEDY F TAILORING  DAR
187 SAMILA .H. UPUNDA F TAILORING  DAR
188 SARA . C . MNZAVA F TAILORING  KILIMANJARO
189 SARAH  WILISON F TAILORING  DAR
190 SCOLASTICA . J . MBUYA F TAILORING  KILIMANJARO
191 SELESTINA  . M . KATWAZO F TAILORING  KAGERA
192 SELINA .S. CHIWICHE F TAILORING  DODOMA
193 SHAIDATH . M . ALLY F TAILORING  KAGERA
194 SHEIDA.K. MDEMU F TAILORING  IRINGA
195 SHUFAA . H. OMARY F TAILORING  TANGA
196 SHUKRANI .J. MWANGENDE F TAILORING  MBEYA
197 SIA .A. RASHID F TAILORING  TANGA
198 SINYATI  . L.  PALIMANDI F TAILORING  ARUSHA
199 SOPHIA  SHABANI F TAILORING  DAR
200 SOPHIA.J.  KAPINGA F TAILORING  DAR
201 SPORA  . A . KALUTA F TAILORING  KIGOMA
202 STELLA .D . CHIHONGWE F TAILORING  DODOMA
203 STELLAH. P . NGELEZA F TAILORING  MOROGORO
204 SUZAN   KAYOGELA F TAILORING  DAR
205 SUZAN  . K . MANYONI F TAILORING  MARA
206 TAMIMU . R . CHANIA F TAILORING  TANGA
207 TATU ABDALLAH F TAILORING  PWANI
208 TATU J. KALONGO F TAILORING  MOROGORO
209 TECLA  .H. KOMBA F TAILORING  MWANZA
210 TERESIA  . A. MWITUMBA F TAILORING  MBEYA
211 TERESIA  .L. MNIONE F TAILORING  PWANI
212 TERESIA . H. MATEI F TAILORING  MANYAR
213 TINA .H . MTALIKA F TAILORING  DAR
214 TUMAINI.E. MWAKASEGE F TAILORING  MBEYA
215 TUNU SAID F TAILORING  MORO
216 TUSEKILE  ISEME F TAILORING  RUKWA
217 UMMI MOHAMED F TAILORING  DAR
218 UPENDO .S. NGONI F TAILORING  DAR
219 VAILETH  CREMENT F TAILORING  TANGA
220 VARETH . B . MOSHI F TAILORING  DAR
221 VERONICA . P . LYAKULWA F TAILORING  DAR
222 VERONICA .F.KOVAGA F TAILORING  DAR
223 VERONICA .M. LALA F TAILORING  SINGIDA
224 VERONICA .P . KAPEMBWA F TAILORING  RUKWA
225 VERONICA .T. MHANDO F TAILORING  DAR
226 WAJA . Y . EMANUELI F TAILORING  SINGIDA
227 WARDA.A. MOLA F TAILORING  DOM
228 YUSTA LAWRENCE MAWINDA F TAILORING  DAR
229 ZABIBU .S. AHAMADI F TAILORING  MWANZA
230 ZAHRA . S. MBUGUNI F TAILORING  DAR
231 ZAINA . O . MDOE F TAILORING  DAR
232 ZANA . J. JEMSI F TAILORING  SINGIDA
233 ZAUNA .F. MOHOMANDEMBO F  TAILORING  DAR
234 ZAWADI  . O . NYILENDA F TAILORING  DAR
235 ZEINABU  .I. NASSORO F TAILORING  DAR
236 ZENA . H . MBENA F TAILORING  DAR
237 ZENA . J . KAZIDI F TAILORING  PWANI
238 ZENO J. MASSEWE M TAILORING  KILIMANJARO
239 ZUHURA   SEMVUA F TAILORING  KILIMANJARO
240 ZUHURA S. MAZIKU F TAILORING  DAR


               SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN FITTER-MECHANICS  AT OYESTERBAY VTC

N0 NAMES SEX DEPARTMENT REGION APPLYING FROM
1  JUMA H. SAID MALE F/MECHANICS PWANI
2 AMIRI R. KUZIWA MALE F/MECHANICS DAR
3 AMOS C. KALYANGO MALE F/MECHANICS SHINYANGA
4 ANTHONY G. GEORGE MALE F/MECHANICS MWANZA
5 AZIZI H. MBWANA MALE F/MECHANICS DAR
6 AZIZI HAMISI MALE F/MECHANICS DAR
7 BARAKA P. GERIFAS MALE F/MECHANICS K/NJ
8 BUSOLO M. GEOPHREY MALE F/MECHANICS TABO
9 DANIEL H. TITILA MALE F/MECHANICS DAR
10 DAVID S. NZOWA MALE F/MECHANICS TANGA
11 SIMON N.  EMMANUEL MALE F/MECHANICS SHINYANGA
12 ERICK S. MUNGA MALE F/MECHANICS KIGOMA
13 FABIAN MAKONGO MALE F/MECHANICS MARA
14 FIKIRIAN DONATUS BUNIGA MALE F/MECHANICS KAGERA
15 FORTUNATUS MPULU MALE F/MECHANICS LIND
16 FREDRICK G. MUSIBA MALE F/MECHANICS DAR
17 FRIDAY JAMES MALE F/MECHANICS RUKWA
18 GEOPHREY K. NYANGI MALE F/MECHANICS MARA
19 GERVAS F. WANDAMENO MALE F/MECHANICS DAR
20 GILBERT J. LWAHO MALE F/MECHANICS DAR
21 GWIMO K. MAGANYA MALE F/MECHANICS KIGOMA
22 HALFAN A. KAMBONA MALE F/MECHANICS PWANI
23 HAMISI S. NYELLA MALE F/MECHANICS TABOR
24 HARUNA A. HASSAN MALE F/MECHANICS DAR
25 HASSAN ATHUMAN MALE F/MECHANICS KAGERA
26 HUMUDI S. ALLY MALE F/MECHANICS DAR
27 IBRAHIMU I. JUSTIN MALE F/MECHANICS PWANI
28 INNOCENT N. MSAFIRI MALE F/MECHANICS MWANZA
29 ISACKSWITBERT NANGUKA MALE F/MECHANICS MTWAR
30 ISMAIL  J. MLANZI MALE F/MECHANICS KILIMANJARO
31 ISSA W. MAOKOLAMAJOGO MALE F/MECHANICS DAR
32 JACOB S. MUSA MALE F/MECHANICS MWANZA
33 JOHN L. MSEGU MALE F/MECHANICS MOR
34 JOHNDAMASCEN. DALIUS MALE F/MECHANICS KAGERA
35 JOSEPH E. LUCAS MALE F/MECHANICS DAR
36 JOSEPH J. MTAMBALIKE MALE F/MECHANICS MOR
37 JOSEPHAT P. PETRO MALE F/MECHANICS MAR
38 JUMA G. FUSI MALE F/MECHANICS DAR
39 KARIMU S. GAWAZA MALE F/MECHANICS DAR
40 KELVIN G. NGULWA MALE F/MECHANICS NJOMB
41 KELVIN Z. TADEO MALE F/MECHANICS KAGERA
42 KENNETH F. MAGESSE MALE F/MECHANICS DAR
43 LUCAS D. MTETEWAUNGA MALE F/MECHANICS DAR
44 MALIKI D. CHARYA MALE F/MECHANICS CHAKO CHAKE
45 MATHIAS G. SALIM MALE F/MECHANICS KIGOMA
46 MIKIDADI HUSSEIN MALE F/MECHANICS PWANI
47 MITELA M. MSHAMU MALE F/MECHANICS DAR
48 MSIBA CALEBU MAFURU MALE F/MECHANICS MARA
49 NOEL G. MKAMI MALE F/MECHANICS DAR
50 PASCHAL E. MUHEMA MALE F/MECHANICS DAR
51 PETRO M. TITUS MALE F/MECHANICS PWANI
52 POLYCARP J. MABULA MALE F/MECHANICS SHINYANGA
53 PRAYGOD G. SIAO MALE F/MECHANICS KILIMANJARO
54 RAMADHANI J. KAMBI MALE F/MECHANICS DAR
55 RENATUS M. KANGIMBA MALE F/MECHANICS KAGERA
56 RICHARD J. KIYABO MALE F/MECHANICS TABOR
57 ROBERT Y. NGAJIRO MALE F/MECHANICS MWANZA
58 RONALD R. KASELA MALE F/MECHANICS MBEY
59 SADATI J. HASSANI MALE F/MECHANICS DAR
60 SAIDI H. ISSA MALE F/MECHANICS LINDI
61 SALVATORU I. MAKENA MALE F/MECHANICS IRING
62 SEBASTIAN G. KITUL MALE F/MECHANICS KIGOMA
63 IRENE R. BUBERWA FEMALE F/MECHANICS KILIMANJARO
64 MIRIUM P. MCHUNGA FEMALE F/MECHANICS MARA
65 NEEMA  DAUDI NATHANIEL FEMALE F/MECHANICS DAR
66 NEEMA J. WAMBURA FEMALE F/MECHANICS IRINGA
67 TAUSI LUZIGA FEMALE F/MECHANICS DAR
68 BRIGIHT A. MAMIRO FEMALE F/MECHANICS DAR
69 CHRISTINA LUCAS MAYOMBYA FEMALE F/MECHANICS GEITA
70 FATUMA R. ABDALLAH FEMALE F/MECHANICS DAR
71 FELISTA M. KIWEMBO FEMALE F/MECHANICS RUVUMA
72 GRACE Z. MIYOGO FEMALE F/MECHANICS DOM
73 IRENE D. SHENGOMA FEMALE F/MECHANICS KAGERA
74 KHADIJA D. BAKARI FEMALE F/MECHANICS TANGA
75 LEILA S. AMIRI FEMALE F/MECHANICS TANGA
76 LUCY ALEX PETRO FEMALE F/MECHANICS KIGOMA
77 LUCY O. KIVAMBA FEMALE F/MECHANICS DAR
78 LULU S. MKADAM FEMALE F/MECHANICS DAR
79 MARY F. MWACHA FEMALE F/MECHANICS DAR
80 STELLA JACKSON MSHINDO FEMALE F/MECHANICS MOR

       SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN MOTOR VEHICLE MECHANICS AT DON BOSCO OYESTERBAY
NO FULL NAME  SEX COURSE APPLYING  DISTRICT
1 ALEXANDER E. ANTHONY  M MVM TEMEKE
2 ALFREDY M. BERNARD M MVM ILALA
3 ANYISILE A. MWAIKOJA M MVM ILALA
4 ARAPHAT R. IBRAHIM M MVM KINONDONI
5 ASNATH LISTA M MVM TEMEKE
6 BLANDINA B. LYAMBOLIKO F MVM UBUNGO
7 CASMIR AUGUST KIWALE M MVM KINONDONI
8 DANIEL FRANCIS M MVM NANSIO
9 DAUDI J. LOKAM M MVM TEMEKE
10 DOMINIC G. MWINUKA M MVM KINONDONI
11 DOREEN MBABINA M MVM KIGAMBONI
12 EDWARD A. LYANGWA M MVM KINONDONI
13 ELIMWESA S. ORIO M MVM SIHA
14 EMMANUEL J. MWAMANGA M MVM UBUNGO
15 EPHRAZIA S. SAGUT F MVM TEMEKE
16 FADHILI M. NAREJA M MVM KINONDONI
17 FREDERICK STEVEN JOHN M MVM KINONDONI
18 GODFREY R. MUNISHI M MVM KINONDONI
19 HABIBU H. NASORO M MVM KWIMBA
20 HENRY J. LOVIS M MVM ILALA
21 ISMAIL ABDALLAH SIWA M MVM ILALA
22 JACKSON E. SANDO M MVM ILALA
23 JEFFERNSON W. MWANYALA M MVM ILALA
24 JOHN W. MWAIMU M MVM ILALA
25 JULIUS O. MOSHI M MVM ILALA
26 JULIUS S. UTIMILA M MVM KINONDONI
27 KIJAKAZI J. MWALIM F MVM KINONDONI
28 LAILATH HAFIDH F MVM UBUNGO
29 LILIAN WILBARD F MVM KINONDONI
30 MADEDE I MOHAMED M MVM TEMEKE
31 MARIA C. MPONDA F MVM ILALA
32 MARIAM WLIFRED F MVM TEMEKE
33 MEBO K. SAMSON F MVM UBUNGO
34 MICHAEL LUCAS  M MVM MBEYA
35 MUSSA S. ATHUMANI M MVM TEMEKE
36 MUSTAFA JUMA M MVM KINONDONI
37 NASSER MUSA IBRAHIM M MVM ILALA
38 NDABASE FANCIS M MVM KINONDONI
39 NEEMA EVARIST F MVM TEMEKE
40 NELSONS G. MASSAWE M MVM KINONDONI
41 NICAS A. KANZA M MVM KINONDONI
42 RAMADHANI A. OMARY M MVM TEMEKE
43 SAID S.SERUNGUO  M MVM KIGAMBONI
44 SALEHE R. PETER M MVM ILALA
45 SELLINA ADAM MINJA F MVM KINONDONI
46 SEMBE JAMES F MVM NYAMAGANA
47 TABU S. RAMADHAN F MVM TEMEKE
48 THERESIA JACOB F MVM UBUNGO
49 TWAIBA S. OMARY  F MVM KINONDONI
50 YUSUFU R. OMARI M MVM KINONDONI

                                  SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN CARPENTRY  AT OYESTERBAY VTC

NO NAME SEX DEPARTMENT REGION APPLYING FROM
1 ALL S. ALLY M CARPENTRY TANGA
2 ANDREA K. LUOGA M CARPENTRY RUVUMA
3 ASHRAF A. RUGIGA M CARPENTRY DAR
4 ASUBUHI G. GUKA M CARPENTRY MARA
5 ATHUMAN K. BUSHIRI M CARPENTRY DAR
6 BERION KITOSI M CARPENTRY IRINGA
7 BONIPHACE CHARLES M CARPENTRY DAR
8 CHRISTIAN A. TENGA M CARPENTRY ARUSHA
9 CLEMENT  YONA DOMIKO M CAPENTRY SHINYANGA
10 CLINTON SILVERO M CARPENTRY DAR
11 COSTANTINE DANIEL M CARPENTRY MARA
12 DANIEL A. MKALAMBA M CARPENTRY TABORA
13 DENIS M. KAROLI M CARPENTRY KAGERA
14 DICKSON C. MATENDELE M CARPENTRY SINGIDA
15 DICKSON EMMANUEL M CARPENTRY DAR
16 DICKSON T. MUSA M CARPENTRY KAGERA
17 ERASTO H. TESHA M CARPENTRY K/NJARO
18 EZECKIEL MCHAKOCHA M CARPENTRY DAR
19 GODFREY J. MAJOLA M CARPENTRY SHINYANGA
20 HALFANI H. HALFANI M CARPENTRY PWANI
21 HASSAN A. SELEMAN M CARPENTRY DAR
22 HIZZA A. MARTIN M CARPENTRY TANGA
23 IBRAHIM S. SHIKADODO M CARPENTRY DAR
24 IDDY BAKARI M CARPENTRY DAR
25 IDDY S. SIMBA M CARPENTRY DAR
26 ISMAIL A. GASS M CARPENTRY DAR
27 JANETH D. KASSIAN F CARPENTRY ZANZIBAR
28 JOSEPH JOAKIM M CARPENTRY ARUSHA
29 JOSEPH S. DANIEL M CARPENTRY DAR
30 JUMA J. KIVUMA M CARPENTRY DAR
31 JUSTIN WILBARD M CARPENTRY DAR
32 KARIM I. ABDALLAH M CARPENTRY TABORA
33 LUGONZA S. CHIZUBO M CARPENTRY MWANZA
34 MASHAKA R. MTAMBO M CARPENTRY PWANI
35 MFAUME HALFANI M CARPENTRY DAR
36 MUSA S. MMINGE M CARPENTRY PWANI
37 NURUDINI R. MAGANGA M CARPENTRY TABORA
38 OMARY A. SEIF M CARPENTRY GEITA
39 OSCA A. SHIYO M CARPENTRY K/NJARO
40 PASCAL      JOSEPH M CAPENTRY SHINYANGA
41 RAMADHANI A. YASSIN M CARPENTRY DAR
42 RAMADHANI B. HAMIS M CARPENTRY TABORA
43 RASHID A. HAMIS M CARPENTRY KIGOMA
44 SAID H. SAID M CARPENTRY RUVUMA
45 SALUM I. SALEHE M CARPENTRY DAR
46 SAMWEL JOEL M CARPENTRY MBEYA
47 SIMON T. CHOYISHE M CARPENTRY KIGOMA
48 STEPHANO K. NDUNGURU M CARPENTRY RUVUMA
49 SWALEHE R. MALAMBUKA M CARPENTRY MWANZA
50 THEOPISTAR PETER JOSEPH F CARPENTRY DAR
51 TOFILI S. MSESE M CARPENTRY MOROGORO
52 TRIFON D. LAWRENCE M CARPENTRY MOROGORO
53 WILLIUM M. MALUNDE M CARPENTRY MARA
54 YACOB J. MWAKIBETE M CARPENTRY MBEYA
55 YUSUPH M. MAKACHA M CARPENTRY DAR

         SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN WELDING & FABRICATION  AT OYESTERBAY VTC

NO NAMES SEX DEPARTMENT REGION APPLYING
1  FREDY E. LYIMO MALE W/FABRICATION TANGA
2 ABDUL T. GOROTO MALE W/FABRICATION TANGA
3 ALEX S. CHIHOMA MALE W/FABRICATION PWANI
4 AMINA N. TETE FEMALE W/FABRICATION DAR
5 AMONI JOHN MALE W/FABRICATION MARA
6 AMOSI J. PAULO MALE W/FABRICATION DOM
7 ANTHONY ATHANAS WILLY MALE W/FABRICATION DOM
8 ANUIYA I. MUHAMMEDI FEMALE W/FABRICATION PWANI
9 AUDAX P. RWEGALULILA MALE W/FABRICATION KAGERA
10 BARAKA EDSON MALE W/FABRICATION MBAYA
11 BEN E. MDENDEMI MALE W/FABRICATION DAR
12 BENEDICT K. COSMAS MALE W/FABRICATION K/NJARO
13 CHIZA E. DAMAS MALE W/FABRICATION KIGOMA
14 DAVID H. KAYENZE MALE W/FABRICATION MOR
15 DIANA H. MREMA FEMALE W/FABRICATION DAR
16 DOTTO G. MPOGOLE MALE W/FABRICATION IRINGA
17 EDWIN GODIFREY MALE W/FABRICATION LIND
18 ELIAS MAKUKULA MALE W/FABRICATION RUVUMA
19 EMMANUEL J. BHUHIYE MALE W/FABRICATION KIGOMA
20 EMMANUEL J. ZEMBA MALE W/FABRICATION TABORA
21 EMMANUEL PAULO MALE W/FABRICATION MORO
22 FABIAN W. MGUMBA MALE W/FABRICATION IRINGA
23 FRANCIS DAMASI MALE W/FABRICATION TANGA
24 FRANK MARITIN MALE W/FABRICATION KAGERA
25 GEORGE A. KOMBA MALE W/FABRICATION RUVUMA
26 GODFREY H. MOLLE MALE W/FABRICATION MOR
27 GODFREY PASCHAL MALE W/FABRICATION GEITA
28 HAFIDHIACI I . ABUSWALE MALE W/FABRICATION K/NJARO
29 HALIMA A. ABDUL FEMALE W/FABRICATION DAR
30 HAMIM I. RWEGASILA MALE W/FABRICATION KAGERA
31 HAMISI S. MUSSA MALE W/FABRICATION KIGOMA
32 HUSSEIN M.IBRAHIM MALE W/FABRICATION KIGOMA
33 HUSSENIN H. MADEGE MALE W/FABRICATION IRINGA
34 JAMES J SUMWA MALE W/FABRICATION MARA
35 JAPHET J. BATEGELEZA MALE W/FABRICATION KAGERA
36 JOHANES C. CHRIZANT MALE W/FABRICATION KAGERA
37 JOHN J. NKUBA MALE W/FABRICATION SHINYANGA
38 JOHNSON J. RUGEMALILA MALE W/FABRICATION KAGERA
39 JOSEPH R. MEENA MALE W/FABRICATION RUVUMA
40 JOSEPHAT N. MBUKWA MALE W/FABRICATION MBEYA
41 KHAMISI N. GABO MALE W/FABRICATION KIGOMA
42 LUKAS L. MSEGU MALE W/FABRICATION MOR
43 MAKANGA S. MAJUJUME MALE W/FABRICATION MARA
44 MATHAYO B. NICHOLAUS MALE W/FABRICATION KAGERA
45 MBONYA S. MALALE MALE W/FABRICATION TABORA
46 MICHAEL N.  COSTANTINE MALE W/FABRICATION SHINYANGA
47 MODEST P. FUNGO MALE W/FABRICATION MOROGORO
48 MOSES G. KAOLE MALE W/FABRICATION SINGIDA
49 MRISHO J. MBELA MALE W/FABRICATION RUVUMA
50 MUROKOZI D ANTONY MALE W/FABRICATION DAR
51 MUSSA   HOYANGA MALE W/FABRICATION SHINYANGA
52 PLACKSEDA S. DAVID FEMALE W/FABRICATION KIGOMA
53 RICHALD S. MAZENGO MALE W/FABRICATION SINGIDA
54 VERONIKA M. KIGWAMPI FEMALE W/FABRICATION RUKWA
55 WILLSON F. MTENGI MALE W/FABRICATION K/NJARO
    
SELECTED APPLICANTS FOR CERTIFICATE COURSE IN ELECRTICAL AT DON BOSCO OYSTERBAY

S/N FULL NAME  SEX COURSE APPLYING  DISTRICT APPLYING FROM
1 ABDALAH M . SOBO M ELECTRICAL ILALA
2 ABDALAH S DUDU M ELECTRICAL TEMEKE
3 ABDALAH S. ZUBERI M ELECTRICAL TEMEKE
4 ABDALLAH AMAN M ELECTRICAL ILALA
5 ABUBAKARI M. MAHULU M ELECTRICAL TEMEKE
6 AKBAR H. KHAMISI M ELECTRICAL UBUNGO
7 ALOYCE S. MBOYA M ELECTRICAL KINONDONI
8 AMIRI H. IBRAHIM F ELECTRICAL TEMEKE
9 ANAMARY MLYUKA M ELECTRICAL ILALA
10 ANTONY D. KATUNZI M ELECTRICAL KINONDONI
11 ARSON K MARUNDER M ELECTRICAL ROMBO
12 ASHIRAFU M. KAPELEGA M ELECTRICAL KINONDONI
13 BARAKA H. CHILALILE M ELECTRICAL ILALA
14 BENJAMINI  NGELEJA M ELECTRICAL KISARAWE
15 BONIFACE  SILANGA M ELECTRICAL TEMEKE
16 BRIGHTON  ADAM M ELECTRICAL ILALA
17 CAESARY PAMBILA M ELECTRICAL TEMEKE
18 CHARLES  E SAMWELI M ELECTRICAL TEMEKE
19 CHRISPINE J. JAJI M ELECTRICAL UBUNGO
20 DAMIAN N JOHN M ELECTRICAL ILALA
21 DANIEL F. KEGOYE M ELECTRICAL TEMEKE
22 DEUS C. JAMES M ELECTRICAL TEMEKE
23 DISMAS P.MWASILE M ELECTRICAL KINONDONI
24 ELIAS COSTAR M ELECTRICAL KINONDONI
25 ELIZABERT MAKATA M ELECTRICAL ILALA
26 EMANUEL M DEUSI M ELECTRICAL BUSEGWA
27 ERASTUS WINSTON M ELECTRICAL TEMEKE
28 ERIC  VALERIAN M ELECTRICAL KINONDONI
29 FAITH N MPIRI F ELECTRICAL KINONDONI
30 FILBERT R . LUOG M ELECTRICAL TEMEKE
31 FLORA H MGWENO F ELECTRICAL KINONDONI
32 GABRIEL S. MBISE M ELECTRICAL UKEREWE
33 GRANTI O. MJABILI M ELECTRICAL UBUNGO
34 HASHIM BAKARI M ELECTRICAL KINONDONI
35 HASHIMU HAMIDU M ELECTRICAL KINONDONI
36 HASHIR A. SAID M ELECTRICAL TEMEKE
37 IBRAHIM  W. MSUNGU F ELECTRICAL UBUNGO
38 INNOCENT SUNLIGHT M ELECTRICAL MOSHI
39 JACKSON  A NYAMAHAKI M ELECTRICAL KINONDONI
40 JACKSON H GEORGE M ELECTRICAL GEITA
41 JAMAL N CHELA M ELECTRICAL ILALA
42 JAMES B. YALIMBA M ELECTRICAL UBUNGO
43 JOHN D KALUNDE M ELECTRICAL KINONDONI
44 JOHN D SUDI M  ELECTRICAL TEMEKE
45 JOSEPH C LYOMBO M ELECTRICAL UBUNGO
46 JULIUS L. MWAMBONA M ELECTRICAL UBUNGO
47 KARIM R MGAYA M ELECTRICAL KINONDONI
48 KHAMIS   Y SHEBA M  ELECTRICAL KINONDONI
49 LENARD O KATANGA M ELECTRICAL TEMEKE
50 LILIAN P METTA F ELECTRICAL KINONDONI
51 LUCAS A. RASHID M ELECTRICAL TEMEKE
52 LULUHEMA F. MAHUNDI M ELECTRICAL ILALA
53 MAEMDA S. MAEMDA M ELECTRICAL KINONDONI
54 MOSI ELIASANTE M ELECTRICAL UBUNGO
55 MSIOMI N. MSIONI M ELECTRICAL TEMEKE
56 NAOMI M. MKAMA M ELECTRICAL TEMEKE
57 NEHEMIA  ENOCK M ELECTRICAL TEMEKE
58 NELSON  KOMBE M ELECTRICAL UBUNGO
59 NELSON MAKANGABA M ELECTRICAL ILALA
60 QUEEN  RICHARD M ELECTRICAL ILALA
61 RAMADHAN T MLUYA M ELECTRICAL ILALA
62 RAPHAEL D AGELE M ELECTRICAL KINONDONI
63 REVOCATUS MTESIGWA M ELECTRICAL KINONDONI
64 RICHARD S KEKE M ELECTRICAL CHALINZE
65 RIZIKI  JUMA M ELECTRICAL MKURANGA
66 ROBART S. SIMON M ELECTRICAL UBUNGO
67 SALUM K. MADAA M ELECTRICAL ILALA
68 SHABANI A IDI M ELECTRICAL TEMEKE
69 SHADIDU MUHIDINI F ELECTRICAL UBUNGO
70 SILVESTER PETER M ELECTRICAL KINONDONI
71 SIMON THOBIAS M ELECTRICAL TEMEKE
72 SIMON W BUCHINKUL M ELECTRICAL KINONDONI
73 SOSPETER KAKOKO M ELECTRICAL TEMEKE
74 STEVEN L. SUNGI M ELECTRICAL KINONDONI
75 SUNDY E. LUCAS M ELECTRICAL TEMEKE
76 SUNSWEET  MAHIMBI M ELECTRICAL ILALA
77 TITO J PAULO M ELECTRICAL UBUNGO
78 UPENDO SHOMARI F ELECTRICAL TEMEKE
79 YASIN M RAJABU M ELECTRICAL ILALA
80 YOHANA CLEMENT M ELECTRICAL KINONDONI

Chanzo:www.donboscoysterbay.co.tz
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa