Monday 29 May 2017

Picha: Mwili wa Ivan Ssemwanga ulivyowasili Uganda.

Hatimaye mwili wa tajiri Ivan Ssemwanga aliyefariki wiki iliyopita nchini Afrika Kusini kutokana na ugonjwa wa moyo umewasili Jumapili hii nchini Uganda kwa ajili ya kufanyiwa mazishi.

Mwili hu uliwasili majira ya mchana katika gari aina ya A-Plus Mercedes-Benz wakitokea katika uwanja wa ndege huku magari mengi ya kifahari yakiongozana na msafara huo.

Zari ambaye alizaa na marehemu watoto watatu akiwemo Quincy, Raphael na Pinto aliongozana na wanae hao katika msafara huo. Ivan anatarajiwa kuzikwa kesho (Jumanne). Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment