Wednesday 24 May 2017

Kujiuzulu Kwa Manji je Vita ya Makonda Dhidi ya Wauza Madawa inafanikiwa?.

Manji ni mmoja wa waliotajwa na Makonda katika sakata la watuhumiwa wa madawa ya kulevya.

Mara baada ya kutajwa Manji alianzisha mtafaruku mkubwa ikiwa ni pamoja na kwenda na wafuasi kadhaa wa yanga kituo cha polisi,pia alionekana kwenda kifahari sana pale kituo cha polisi...lakini baadaye hatukumsikia akitamba kabisa hadi sasa tunasikia akiiachia Yanga ambayo pengine labda ilikuwa ni maficho yake

Je katika hili tumpongeze makonda kwa ushindi wa awali dhidi ya wauza madawa ya kulevya?


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hap

0 comments:

Post a Comment