Friday 26 May 2017

Amber Lulu kuwa bosi.

Video Queen kutoka Bongo, Amber Lulu amebainisha yupo mbioni kufungua kampuni yake kwa ajili ya kuwasimamia warembo watakao tumika katika video za wasanii.

Amber Lulu

Akipiga stori na Clouds Fm, Amber Lulu amesema warembo wao pia atakuwa akiwatumia katika video zake.

“Kwa hiyo mimi nitakuwa bosi wao, kampuni itakuwa na warembo 10, so soon itafunguliwa kwa sababu warembo tayari wapo. Kwa sababu mara nyingi nimeona wasani wanasumbuka, nimekuwa nikipata simu zao wanatafuta mavideo Queen,” ameeleza Amber Lulu.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment