Monday 29 May 2017

Kamanda Sirro Aapishwa Rasmi Kuwa IGP.

Tazama moja kwa moja kutoka Iluku muda huu, leo Mei, 29, 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha rasmi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), kufuatia uteuzi wake uliofanyika jana Mei 28, 2017.

Kabla ya uteuzi huo, Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam. Bofya hapa kutazama



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment