Wednesday 24 May 2017

Rais Magufuli Avunja Bodi ya TMAA, Upotevu wa Madini Wafanyakazi Kikaangoni.

IKULU: Rais Magufuli amepokea Ripoti ya Kamati ya uchunguzi wa Mchanga wa Madini. Imebaini upotevu wa Shilingi Bilioni 676 hadi trilioni 1.

Kamati Maalumu iliyoundwa imetoa jumla ya mapendekezo tisa ambayo yote yamekubaliwa na Rais.

Wakati akihutubia Rais Magufuli asema anampenda Waziri wa Nishati na Madini, Prof Muhongo amtaka ajitafakari na bila ya kuchelewa alitaka aachie madaraka.
.

Aidha Rais pia ameivunja Bodi ya TMAA na avitaka vyombo vya Dola kuwafuatilia wafanyakazi wote wa TMAA kwa upotevu wa madini.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hap

0 comments:

Post a Comment