Thursday 25 May 2017

Zitto Kabwe 'Kwa Hili Sisi ni Matajiri Kuliko Afrika Kusini na Ghana'.

 "Mwaka 2016, Afrika Kusini ilizalisha tani 140 za dhahabu na Ghana tani 90 hivyo kuongoza Afrika. Kwa Taarifa ya Prof. Mruma, Tanzania huzalisha tani 112  za dhahabu kutoka kwenye makanikia yaliyokutwa kwenye makontena ya migodi 2 tu ya Buzwagi na Bulyanhulu. Ukiongeza uzalishaji wa migodi ya North Mara na Geita, Tanzania inakuwa mzalishaji mkuu wa dhahabu Afrika nzima.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment