Friday 25 September 2015

#YALIYOJIRI>>>Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa akiongea na wakazi wa mji wa Mererani.Jionee hapa.

 Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa, akiongea na wakazi wa mji wa Mererani, Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara
 John Mrema akiongea na wakazi wa mji wa Mererani, Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara.
 Waziri Mkuu Mstaafi, Fredick Sumaye akipokea kadi za wana CCM wa mjini Sumanjiro waliojiunga na CHADEMA.
Wakazi wa mji wa Mererani, Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara wakimsikilza Mgombea Urais wa CHADEMA, Mhe. Lowassa

0 comments:

Post a Comment