Saturday 12 September 2015

#YALIYOJIRI>>Rais Mh.Jakaya Kikwete akiweka jiwe la Msingi Jengo la Kitega uchumi Mamlaka ya Ngorongoro.Fahamu zaidi hapa.

 Rais Mh.Jakaya Mrisho Kikiwete akiweka jiwe la msingi katika jengo la kitega uchumi linalomilikiwa na Mamlaka ya hifadhi ya Bonde la Ngorongoro lililopo mjini Arusha jana jioni.
 Rais Kikwete akikabidhiwa   zawadi mbalimbali pamoja na pasi ya kudumu ya kuingia katika hifadhi ya Ngorongoro muda mfupi baada ya Rais Kuzindua ujenzi wa jengo la Kitega uchumi la Hifadhi hiyo mjini Arusha jana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Uhifadhi ya Bonde la Ngorongoro Balozi Mwanaidi Maajar.
Toa maoni yako hapa.

0 comments:

Post a Comment