Saturday 26 September 2015

#YALIYOJIRI>>>>Edward Lowassa na Freeman Mbowe wapokelewa na Wananchi wa Boma Hai kwa mabango.Jionee hapa.

Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chadema UKAWA Edward Lowassa nasema hivi "Watanzania wana imani na mimi pamoja na viongozi wenzangu wataungana nasi kupambana na umaskini wa nchi hii".

0 comments:

Post a Comment