Sunday 27 September 2015

#MICHEZO>>>Nahodha wa Azam FC azalilishwa.Fahamu zaidi hapa.


Timu ya Azam September 27 ikiwa katika uwanja wake wa Azam Complex Mbande Chamazi akicheza mechi  yake na Mbeya City,nahodha wa Mbeya City Juma Nyoso alimfanyia kitendo cha kidhalilishaji nahodha  wa Azam FC John Bocco, licha ya kuwa muamuzi hakuona ila kupitia picha za mnato na kanda za video tukio hilo lilinaswa na kusambaa katika mitandao ya kijamii.
Toa maoni yako ukiwa mpenzi wa michezo.

0 comments:

Post a Comment