Thursday 25 May 2017

Lowassa na Lipumba Wakutana Uso kwa Uso Msibani..Lipumba Akimbilia Kumsalimia Harakaharaka.

Baada ya kimya kirefu , hatimaye Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amekutana na uso kwa uso na Mwenyekiti wa  Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba.
Wawili hao wamekutana leo, Alhamisi katika msiba wa aliyewahi kuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Kitwana Kondo (92) nyumbani kwake Upanga wilayani Ilala.
Wa kwanza kuwasili alikuwa na Profesa Lipumba kisha Lowassa, ambaye alisalimiana na watu waliokuwa karibu yake.
Lakini baada ya swala ya mchana Profesa Lipumba alisalimiana na Lowassa.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment