Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema hadi sasa wameshaandikisha
wapigakura zaidi ya milioni kumi na moja kati ya milioni 24 wanaotarajiwa kua ndikishwa nchini kote.
Wakili kaeleza sababu za Mbunge Lijualikali kuachiwa huru.
Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam March 30 2017 imetengua hukumu
iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya Kilombero dhidi ya Mbunge Peter
Lijualikali baada ya kukubali kuwa hati ya mashtaka iliyomtia hatiani
ilikuwa na …Read More
0 comments:
Post a Comment