MANCHESTER UNITED wamegeuka kwa Sir Alex Ferguson kwa ushauri juu ya mustakabali Louis van Gaal baada ya kuona mwenendo kwa michezo yake ligi kuu Uingereza na UEFA.
RWANDA YAITUPA NJE TAIFA STARS MICHUANO YA CHAN.
Taifa Stars imetolewa nje katika michuano ya kuwania kucheza Chan.
Stars imetolewa baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya Rwanda katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amahoro jijini Kigali.
Kwa kuwa Stars na Rwa…Read More
Shaffih Dauda Afunguka Kuhusu Kukamatwa na TAKUKURU.
Jumatano ya July 26 2017 zilienea taarifa za kukamatwa na TAKUKURU kwa
mwenyekiti wa chama cha mpira Dar es Salaam DRFA Almas Kasongo, mgombea
wa nafasi ya ujumbe wa kamati ya utendaji ya TFF kanda ya Dar es Salaam
na mc…Read More
0 comments:
Post a Comment