Saturday, 30 January 2016

#YALIYOJIRI>>>Rais Magufuli Amuongezea Mwaka Mmoja Mkuu wa Majeshi Jenerali David Mwamunyange...Afanya Uteuzi wa Makamanda Wengine wa JWTZ.Fahamu zadi hapa.

RAIS John Magufuli amemwongeza muda wa mwaka mmoja Mkuu wa  majeshi ya ulinzi nchini,Jenerali David Mwamunyange, ambaye alitakiwa kustaafu leo baada ya kutimiza umri  kwa mujibu wa katiba na sheria. Akizungumza na waandishi wa habari leo mapema kwenye Makao makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yaliyopo  Upanga jijini Dar es salaam,Jenerali...

#YALIYOJIRI>>>Taarifa Ya Kukanusha Uvumi Wa Kuwepo Ajira Za Madaktari JWTZ.Fahamu zaidi hapa.

Hivi karibuni kumekuwa na uvumi unaoeleza kuwa JWTZ limetoa nafasi za kazi kwa vijana wenye fani ya Udaktari na kuwataka vijana hao kuripoti Makao Makuu na vyeti vyao kwaajili ya usaili. Habari hizo si za kweli,JWTZ kama zilivyo taasisi nyingine za serilikali lina mfumo rasmi wa kutangaza habari zake hivyo jeshi linawaomba wananchi wazipuuze taarifa hizo. Aidha ...

#YALIYOJIRI>>>Rais Magufuli Awaapisha Balozi Na Makatibu Tawala Wawili,Amtuea Luteni Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mnadhimu Mkuu JWTZ.Fahamu zaidi hapa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha  Luteni Jenerali Venance Salvatory Mabeyo  kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ  Ikulu jijini Dar es salaam leo January 30, 2016   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 30 Januari, 2016 amewaapisha Balozi, Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la...

#YALIYOJIRI>>>Balozi Amina Salum Ali Amuomba Seif Sharif Hamad Kufikiria Upya Uamuzi Wa Kususia Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar.Fahamu zaidi hapa.

Kada aliyegombea urais kwa tiketi ya CCM, Amina Salum Ali amesema mgogoro wa kisiasa Zanzibar hautakwisha hata baada ya Uchaguzi wa marudio kwa kuwa ni wa kihistoria na baadhi ya viongozi hawana nia ya dhati ya kuendeleza Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani humo. Balozi Amina pia amesema uamuzi wa CUF kususia uchaguzi wa marudio visiwani humo utasababisha...

#YALIYOJIRI>>>Mahakama yamfutia kesi mtuhumiwa wa kupokea fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.Fahamu zaidi hapa.

Aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip Saliboko, ameachiwa huru katika shtaka la kutuhumiwa kuwa alipokea rushwa ya Sh milioni 40.4 kutoka kwa Mkurugenzi wa zamani wa Kampuni ya IPTL, James Rugemalira. Saliboko aliachiwa jana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kumuona hana hatia. Hukumu hiyo ilitolewa...

#YALIYOJIRI>>>Nchi 12 Za Ulaya na Marekani Zalaani Tume Ya Uchaguzi Zanzibar Kutangaza Tarehe Ya Marudio Ya Uchaguzi Wakati Mazungumzo Yakiendelea.Fahamu zaidi hapa.

Mabalozi wa nchi zinazounda Umoja wa Ulaya (EU) wameeleza kusikitishwa na kitendo cha Tume ya Uchaguzi (ZEC) kutangaza tarehe ya marudui ya Uchaguzi wakati mazungumzo ya kutatua mgogoro yakiendelea na kumtaka Rais John Magufuli kutumia nafasi yake ya uongozi kutatua mtanziko wa kisiasa visiwani Zanzibar. Taarifa ya pamoja iliyotumwa kwa vyombo vya habari na mabalozi...

Friday, 29 January 2016

#MICHEZO>>>Mbia ajiunga na Gervinho ya huko nchini Uchina.Fahamu zaidi hapa.

 Akiweka record ya Mbia ameichezea timu yake ya taifa ya Cameroon mara 67 Nahodha wa timu ya taifa ya Cameroon Stephane Mbia amejiunga na klabu ya Hebei China Fortune nchini Uchina. Mbia amekuwa akichezea Trabzonspor ya Uturuki. Mchezaji huyo wa zamani wa Marseille mwenye umri wa miaka 29 sasa atajiunga na nyota wa Ivory Coast Gervinho katika...

#YALIYOJIRI>>>CCM Yaipongeza ZEC Kutangaza Tarehe Ya Marudio Ya Uchaguzi Zanzibar,Yawataka Wananchi Kujitokeza Kwa Wingi Kupiga Kura.Fahamu zaidi hapa.

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  kimeelezea kuridhishwa kwake na maamamuzi ya Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa kutangaza siku ya kufanyika kwa uchaguzi wa marudio kwa nafasi ya Urais, Uwakilishi na Udiwani. Kimesema  maamuzi  ya kufanyika uchaguzi huo Machi 20 mwaka huu, yanaenda sambamba na matakwa ya wananchi waliokuwa wengi katika kutekeleza...

Habari Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya Januari 30 iko hapa.

...

#MICHEZO>>>Alexandre Pato atia wino Chelsea.Fahamu zaidi hapa.

 Chelsea Football Club ni furaha kutangaza mkopo kusainiwa kwa Alexandre Pato kutoka Wakorintho hadi mwisho wa msimu.Pato, ambaye jina lake kamili ni Alexandre Rodrigues da Silva, ni hodari mbele mchezaji na kugusa bora na kuvutia upande wa kasi. Pato alisema 'mimi hivyo furaha kutia saini kwa Chelsea. Ni ndoto kwa ajili yangu. Mimi ni kuangalia mbele kwa mkutano...

#MICHEZO>>>Mbwana Samatta akamilisha usajili katika timu mpya.Fahamu zaidi hapa.

 Mbwana Samatta atimae kapata timu mpya baada ya kutoka katika timu ya TP MAZEMBE,akiwa ametoka kwa mafanikio baada ya kuchukua Tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka ndani ya Afrika. Haya ni maneno ya Mbwana Samatta ambayo aliyoyaandika katika page yake ya facebook baada kufanyika kwa usajili."Leo nimeingia mkataba rasmi na Club yangu mpya...

#YALIYOJIRI>>>Umoja wa Vijana Chadema Wampa siku Tatu Rais Magufuli.Fahamu zaidi hapa.

BARAZA la Vijana wa Chadema (BAVICHA) kwa kushirikiana na Umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu Chadema (Chaso) wametoa siku tatu kwa Rais John Magufuli kufuta agizo la Shirika la utangazaji la Tanzania (TBC) kutokurusha moja kwa moja mikutano ya Bunge inayoendelea Dodoma. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Katibu Mwenezi Taifa Bavicha Edward...

TRA Yasitisha Upokeaji Wa Maombi Ya Nafasi Za Kazi.Fahamu zaidi hapa.

ISO 9001:2008 CERTIFIED KUSITISHWA KWA MUDA UWASILISHWAJI WA MAOMBI YA KAZI Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitoa tangazo la nafasi za kazi katika magazeti mbalimbali ambapo waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi kupitia tovuti ya TRA.   Kutokana na maombi ya nafasi za kazi kuingiliana na shughuli za kulipa kodi mwisho wa mwezi kupitia tovuti, TRA...

#YALIYOJIRI>>>>Rais Magufuli Amteua Paul Chagonja kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi.Fahamu zaidi hapa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wawili wa mikoa ya Mwanza na Katavi ili kujaza nafasi za Makatibu Tawala wa mikoa hiyo. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema Rais amemteua Kamishna wa Polisi, Clodwing Mtweve kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, ambako anakwenda kujaza nafasi iliyoachwa...