
RAIS
John Magufuli amemwongeza muda wa mwaka mmoja Mkuu wa majeshi ya
ulinzi nchini,Jenerali David Mwamunyange, ambaye alitakiwa kustaafu leo
baada ya kutimiza umri kwa mujibu wa katiba na sheria.
Akizungumza
na waandishi wa habari leo mapema kwenye Makao makuu ya Jeshi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yaliyopo Upanga jijini Dar es
salaam,Jenerali...