Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Iringa Vijijini Ndg.Sinkala Mwenda amepata ajali jana jioni eneo la Tanangozi na kukimbizwa Hospitalini kwa ajili ya matibabu lakini bahati mbaya akafariki dunia muda mfupi wakati madaktari wakijitahidi kuokoa uhai wake. Pumzika kwa amani Kamanda Sinkara.!
Tuesday, 5 April 2016
Home »
Habari Moto
» BREAKING NEWS>>>>MWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA APATA AJALI NA KUFARIKI DUNIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
BREAKING NEWS>>>>MWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA APATA AJALI NA KUFARIKI DUNIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Related Posts:
Fahamu Sifa za Mwanamke Asiyefaa Kuolewa Asilani.Fahamu zaidi hapa. SUALA la kuoa lipo tu licha ya kwamba wapo wanaochelewa kuingia kwenye maisha hayo wakihisi inaweza kusitisha furaha ya maisha yao. Nasema hivyo kwa kuwa najua wapo wanaoamini kuoa ama kuolewa ni kujiingiza kwenye matati… Read More
Makonda, Kamanda Sirro Waitwa Mahakamani Leo Kutokana na Kesi Aliyifungua Mbowe.Fahamu zaidi hapa. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Paul Makonda, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam (ZPC), Kamishna Simon Sirro na Mkuu wa Upelelezi wa kanda hiyo (ZCO), Camilius Wambura, wamepelekewa barua za mwito za kuw… Read More
#Breaking News>>>>>Mbowe aitikia wito polisi.Fahamu zaidi hapa. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameitikia wito wa Jeshi la Polisi mchana huu, katika kituo cha Polisi kati, Jijini Dar es salaam. tayari kw… Read More
Mahakama Yamkingia Kifua Mbowe,Yatoa Amri ya Kutokamatwa Kwake,Aaagizwa Pia Amfungulie Kesi Mwanasheria Mkuu wa Serikali...!!!.Fahamu zaidi hapa. MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa zuio la muda kwa Jeshi la Polisi kuacha kumkamata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe hadi maombi yake ya kupinga kukamatwa aliyowasilisha… Read More
Mzee wa Upako: Sinywi Pombe, ila Nakunywa Wine.Fahamu zaidi hapa. Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama ‘mzee wa upako’ amefunguka kuhusu tuhuma za yeye kunywa pombe, na kuweka wazi kuwa hanywi pombe bali anakunywa ‘wine’ isiyo na kilevi, huku akisema kuwa amewasamehe waandishi aliwo… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment