Tuesday, 31 May 2016

Kurasa ya bet_africa ilivyokiki baada ya post ya mtoto wa Diamond Platnumz.Fahamu zaidi hapa.

Kurasa ya bet_africa ilivyokiki baada ya post ya mtoto wa Diamond Platnumz ‘Tifah‘ amabyo ilikuwa post kwenye kipengele chao cha Cute Day Selection. Post yao ilisema “Our #CuteDay selection today is @diamondplatnumz‘ s daughter Princess Tifah ” na baad aya hapo imekuwa post iliyopata comment nyingi zaidi kuliko post yoyote waliyowahi kuweka kwenye kurasa hii ya instagram...

#YALIYOJIRI>>>>Mbowe#Tupo Tayari Kutimuliwa Wote Bungeni.Fahamu zaidi hapa.

Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson sasa amesababisha makubwa zaidi; wabunge kutoka vyama vya upinzani wako radhi kutimuliwa wote iwapo kiongozi huyo ataongoza vikao vyote vilivyosalia na wao kuendelea na msimamo wao wa kumsusia.  Jana, Dk Ackson aliingia kuongoza kipindi cha maswali na majibu na wabunge wote wa vyama vya upinzani wakatoka ndani ya ukumbi...

#YALIYOJIRI>>>Wahadhiri UDOM Wataja Kiini cha Mgomo Kilichosababisha Wanafunzi 7802 Warudishwe Nyumbani.Fahamu zaidi hapa.

JUMUIYA ya Wanataaluma ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA) imesema kilichotokea si walimu kugoma kufundisha programu ya Stashahada Maalumu ya Elimu, Sayansi, Hisabati na Tehama, bali tatizo ni kutoelewana na Menejimenti ya chuo kutokana na mazingira mabovu ya uendeshaji wa programu hiyo chuoni hapo. Aidha, imelaani kitendo cha wanafunzi 7,802 wa Programu Maalumu...

#YALIYOJIRI>>>> Rais Magufuli Awatangazia Vita Wafanyabiashara ‘Wajanja’.Fahamu zaidi hapa.

Rais John Magufuli amesema Serikali yake itaendelea kupambana na wanaoingiza bidhaa zilizochini ya kiwango na wale wanaokwepa kodi. Amesema kwa kufanya hivyo, wanachangia kuviua viwanda vya ndani ya nchi. Rais Magufuli ameyasema hayo jana kwenye hafla ya utaoji wa Tuzo ya Rais ya wazalishaji bora wa viwandani kwa mwaka 2015 zilizofanyika jijini Dar es Salaam. Tuzo...

Jacqueline Wolper afunguka kuwa alifilisiwa na ‘Mkongo’ hadi hana gari wala pakulala.Fahamu zaidi hapa.

Msanii wa filamu, Jacqueline Wolper baada ya kukiri kwamba anatoka kimapenzi na Harmonize, amefunguka na kueleza madai ya kufilisiwa na Mkongo ambaye alikuwa mpenzi wake wa zamani. Akiongea katika promo ya kipindi kipya cha Take One ambacho kinatarajiwa kuruka Jumanne hii, Wolper amedai yeye ndiye aliyetendwa na Mkongo ambaye alikuwa mpenzi wake, kwani wakati anaanza...

Habari Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya June 1 yako hapa.

...

#MICHEZO>>>SERIKALI YAPIGA MKWARA MZITO UCHAGUZI WA YANGA.Fahamu zaidi hapa.

Kizingumkuti cha uchaguzi mkuu wa yanga chaendelea baada ya zoezi la uchukuaji fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika klabu ya Yanga kuwa na sintofahamu kubwa. Serikali ilitoa maelekezo ya kuelekea uchaguzi huo lakini kunaonekana kuwepo kwa vikwazo mbalimbali ili zoezi hilo lisifanikiwe. huyu hapa kaimu katibu mkuu wa BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA akielezea....

Nyongeza Ya Majina ya Vijana Waliomaliza Kidato cha 6 Wanaotakiwa Kujiunga na JKT Kabla ya Tarehe 10 Mwezi wa 6.

Vijana wafuatao wameongezwa kuhudhuria mafunzo ya jkt katika makambi mbalimbali kama inavyoonekana hapo chini. Pia baadhi ya vijana wamehamishwa makambi kutokana na sababu mbalimbali.Waripoti kwenye makambi kama inavyoonekana  hapa chini kabla ya tarehe 10 juni 2016. S/NO    JINA                                                       ...