Wabunge wa Kambi ya upinzani wakitoka kwenye ukumbi wa Bunge wakipinga kushiriki tukio la kuapishwa kwa wabunge kupitia Baraza la Wawakilishi, mjini Dodoma, leo asubuhi.
Monday, 30 May 2016
Home »
Habari Moto
» #Breaking News>>> Upinzani wasusia kikao cha Bunge asubuhi ya leo.Fahamu zaidi hapa.
#Breaking News>>> Upinzani wasusia kikao cha Bunge asubuhi ya leo.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Eh..Makubwa Haya..Misri Waja na Mpango Kama Marekani kwa Nchi za Kiafrika...!!!.Fahamu zaidi hapa. RAIS Abdi El-Fattah Al-Sisi wa Misri amesema nchi yake imejitoa kwa hali na mali kuimarisha ushirikiano na nchi nyingine za Afrika ili kujiletea maendeleo ya kiuchumi kwa pamoja. Alikuwa anazungumza na viongozi 37 wa … Read More
Rais Magufuli amepiga simu Clouds Tv na kuzungumza na mwanamuziki Diamond Platnumz baada kusikia maombi yake.Fahamu zaidi hapa. Mwanamuziki Diamond Platnumz amepata nafasi ya kuzungumza na Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli kuhusu hali ya wasanii ilivyo nchini na kuomba serikali kuunga mkono juhudi zao ili kulisaidia taifa kuongeza pato na wasan… Read More
Magufuli amewapasulia jipu wabunge wa CCM.Fahamu zaidi hapa. Rais John Magufuli amewapasulia jipu wabunge wa CCM kuwa anamuunga mkono Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa hata kama wapo miongoni mwao wanaompinga. Mbali ya kumkingia kifua Majaliwa, Mwenyekiti huyo wa CCM pia amewaonya wab… Read More
Kimenuka CCM..Sophia Simba Amvimbia Magufuli,Asema Ahami na Haondoki CCM Ng'oo...!!!!.Fahamu zaidi hapa. Siku moja baada ya mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA kuwakaribisha kwenye chama chake kipya waliofukuzwa CCM kwenye mkutano maalum, aliyekuwa mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba amesema amukua kwenye chama hicho kwa miaka 46 n… Read More
Lowassa Akawaribisha UKAWA Kina Sophia Simba Waliovuliwa Uanachama CCM .Fahamu zaidi hapa. Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amekaribisha waliokuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), Sophia Simba kujiunga na Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba … Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment