Friday, 20 May 2016

PICHA 11>>>>MAPOKEZI YA YANGA IKITOKEA ANGOLA HII LEO.



Msafara wa basi la Yanga likiwa limewabeba wachezaji na viongozi kuelekea makao makuu ya klabu lakini kwanza wakipitia Quality Centre kuonana na Manji aliewaita , baada ya kupokelewa uwanja wa ndege . Jiji la simama ... ni furaha na nderemo kila kona

 Mashabiki wa klabu ya Yanga leo wamejitokeza kwa Wingi kuipokea timu yao iliyowasili kutoka nchini Angola.YANGA imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi kombe la shirikisho Afrika baada ya kuitoa Esperance ya Angola kwa jumla ya goli 2 kwa 1





Related Posts:

0 comments:

Post a Comment