Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>SERIKALI YAPIGA MKWARA MZITO UCHAGUZI WA YANGA.Fahamu zaidi hapa.
Kizingumkuti cha uchaguzi mkuu wa yanga chaendelea baada ya zoezi la
uchukuaji fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika klabu ya Yanga kuwa
na sintofahamu kubwa.
Serikali ilitoa maelekezo ya kuelekea uchaguzi huo lakini kunaonekana kuwepo kwa vikwazo mbalimbali ili zoezi hilo lisifanikiwe.
huyu hapa kaimu katibu mkuu wa BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA
akielezea.
VIDEO
Related Posts: #MICHEZO>>>HECTOR BELLERIN AMDENGULIA GUARDIOLA AJIFUNGA KITANZI KWA WENGER.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Maisha ni safari ndefu ambayo ina
mabonde na milima, wakati matokeo ya uchaguzi mkuu wa Marekani
kutangazwa sasa turejee katika michezo na burudani na hapa tunapiga hodi
pale kwa washika bunduki wa London Arsenal ambao … Read More #MICHEZO>>>>PLUIJM ASEMA ANAONDOKA YANGA AKIWA BADO ANAIPENDA, ATAIKUMBUKA KWA MENGI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kocha Hans van der Pluijm amesema ataikumbuka klabu ya Yanga kwa mambo mengi sana kwa kuwa ataondoka akiwa bado anaipenda.
Pluijm raia wa Uholanzi mwenye makazi yake nchini Ghana, amesema Yanga ni moja ya klabu bora kab… Read More MABINGWA WA NBA WALIVYOENDA KUMUAGA OBAMA IKULU WAKIONGOZWA NA LeBRON JAMES.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Wachezaji wakipiga selfie mbele ya jengo la ikulu.
Staa
wa kikapu nchini Marekani katika Ligi ya NBA, LeBron James ameiongoza
timu yake ya Cleveland Cavaliers kutembelea ikulu ya nchi hiyo kutokana
na kutwaa ubing… Read More #MICHEZO>>>>>Azam FC yatoa kichapo kwa Mwadui na kumuenzi Mzee Said vizuri.Fahamu zaidi hapa.
KLABU
Bingwa ya Afrika Mashriki na Kati, Azam FC, jioni ya leo imemuenzi vema
aliyekuwa Mwenyekiti wake, Mzee Said Mohamed Abeid, aliyefariki dunia
juzi jioni, kwa kuipa dozi kali ya mabao 4-1 Mwadui FC katika mche… Read More #MICHEZO>>>>HIVI NDIVYO SIMBA ILIVYOKUTANA NA KIPIGO PALE SOKOINE MBELE YA VIGOGO WAO.FAHAMU ZAIDI HAPA. Timu ya Simba imepoteza mchezo wake
dhidi ya Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa mabao 2-1. Pichani ni matukio
ya mchezo huo wa Ligi Kuu Bara ulivyochezwa, jana Jumatano.
Viongozi na wadau wa Si… Read More
0 comments:
Post a Comment