Thursday, 19 May 2016

#YALIYOJIRI>>>>Basi la Mwendo Kasi Lagonga na Kuua Mtoto Jijini Dar es Salaam.Fahamu zaidi hapa.

Basi la mwendo kasi ( DART)  limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hilo
Ajali hiyo imetoke leo katika  eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment