Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>>Basi la Mwendo Kasi Lagonga na Kuua Mtoto Jijini Dar es Salaam.Fahamu zaidi hapa.
Basi la mwendo kasi ( DART) limemgonga na kumuua mtoto huku mama
yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa
kulipita basi hilo
Ajali hiyo imetoke leo katika eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>>Waziri Mkuu Majaliwa Awatembelea Waathirika Wa Mafuriko Iringa, Apokea Misaada Ya Maafa Ya Sh. Milioni 86/-.Fahamu zaidi hapa.
WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa amepokea misaada mbalimbali yenye thamani ya sh.
milioni 85.88/- kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko kwenye
vijiji vya kata ya Mlenge, tarafa ya Pawaga, wilaya ya Iringa vij… Read More
#YALIYOJIRI>>>Wizara Ya Fedha Yasema Makusanyo Ya Fedha Kwa Mwezi Yamefika Trilioni 1.79,Mchanguo Wote Wa Matumizi wa Pesa Uko Hapa.Fahamu zaidi hapa.
SERIKALI
imeendelea kupaa katika ukusanyaji wa mapato baada ya kukusanya hadi Sh
trilioni 1.79, ambazo imezipeleka katika huduma za jamii, ikiwamo
elimu, maji, miundombinu na miradi ya maendeleo.
Katibu
Mkuu wa Wiz… Read More
#YALIYOJIRI>>>TRA Yatoa Tamko ya Kuhusu Matumizi ya EFD Kwenye vituo vya Mafuta.Fahamu zaidi hapa.
TANGAZO KWA UMMA
MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD KATIKA VITUO VYOTE VYA MAFUTA NCHINI:
Kufuatia
Tangazo kwa Umma lilitolewa kwenye vyombo vya Habari na kuchapishwa
kwenye Magazeti, Uongozi wa Chama cha Wamiliki na Waendes… Read More
Habari Katika Magazeti ya Leo siku ya Jumanne Ya Februari 23 yako hapa.
… Read More
#YALIYOJIRI>>>Wakazi 16,000 wakosa huduma muhimu baada ya daraja kuharibiwa na Mvua.Fahamu zaidi hapa.
Wananchi kumi na sita elfu wa kijiji cha Libango wilayani Namtumbo
mkoani Ruvuma wanakosa huduma muhimu baada ya daraja la Libango
linalounganisha kijiji hicho na makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya
… Read More
0 comments:
Post a Comment