Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limemteua Michael Richard Wambura kuwa Kamishina wa mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Rwanda na Msumbiji unaotarajiwa kufanyika jijini Kigali, Juni 3, 2016. Wambura ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), atakuwa Balozi mzuri katika mchezo huo unaokutanisha timu ambazo nchi imepana nazo. Msumbiji iko Kusini mwa Tanzania wakati Rwanda iko Magharibi mwa Tanzania.
Thursday, 26 May 2016
#MICHEZO>>> WAMBURA AULA KWA CAF.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Tetemeko Kubwa Laikumba Yanga, Timu Kwenda Zambia kwa Treni...!!!!.Fahamu zaidi hapa. Katika ile hali isiyotarajiwa, team pendwa wenyewe wakiita timu ya wananchi wamekutwa na tetemeko kubwa la kiuchumi kwa kuwa na hali mbaya ya kifedha. Kutokana na utata huo uongozi wa juu wa timu hyo umeamua kusafiris… Read More
DAKTARI ALIYEMTIBU NGOMA ASEMA ALIDANGANYA, ATAKA AWAAMBIE UKWELI WANA YANGA.FAHAMU ZAIDI HAPA. Na Dr Haroun Haroun Yanga ina daktari wa timu anaitwa Dr Edward bavu nafikiria ana taaluma ya kutibia wachezaj vizuri, lakini wakati mwingi… Read More
Hali ya uchumi Yaifanya Yanga Kuachana na Hans Pluijm...!!.Fahamu zaidi hapa. Matatizo ya kiuchumi yanayoikabili Yanga, yamesababisha timu hiyo kuachana na mkurugenzi wake wa ufundi, Hans Pluijm. , Pluijm amethibitisha kupokea barua kutoka kwa uongozi wa timu hiyo ambao umeamua kuachana naye ili … Read More
MAN UTD KUAMUA HATMA YA MICHAEL CARRICK.FAHAMU ZAIDI HAPA. Kiungo Michael Carrick ameahidi kustaafu soka, endapo uongozi wa Man Utd utasitisha mpango wa kumsainisha mkataba mpya mwishoni mwa msimu huu. Carrick mwenye umri wa miaka 35, amekua Old Trafford tangu Julai 2006 akitok… Read More
MADRID NUSURA "WAKANYAGE MIWAYA", YANUSURIKA MWISHONI NA KUPATA SARE YA 3-3 NA LA PALMAS.FAHAMU ZAIDI HAPA. REAL MADRID (4-3-3): Keylor Navas; Carvajal, Ramos, Nacho, Marcelo; Kroos, Kovacic (James 71), Isco (Lucas 65); Bale, Morata (Benzema71), Ronaldo Unused subs: Casilla, Pepe, Modric, Asensio Goals: Isco 8… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment