Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wadau mbalimbali wa CTI na kutoka Sekta ya Viwanda nchini kabla ya kutoa Tuzo za Rais kwa viwanda vilivyofanya vizuri kwa mwaka 2015 katika Ukumbi wa Serena Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua nembo mpya ya Tuzo za Rais kwa Wazalishaji bora wa Viwanda PMAYA The President’s Manufacure of the Year pamoja na Mwenyekiti wa Wenyeviwanda Tanzania CTI Dkt. Samwel Nyantahe katika Ukumbi wa Serena Jijini Dar es Salaam.
Tuesday, 31 May 2016
Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>Rais Magufuli Ashiriki Katika Hafla Ya Utoaji Wa Tuzo Za Rais Kwa Wazalishaji Bora Wa Viwanda Kwa Mwaka 2015.i.Fahamu zaidi hapa.
#YALIYOJIRI>>>Rais Magufuli Ashiriki Katika Hafla Ya Utoaji Wa Tuzo Za Rais Kwa Wazalishaji Bora Wa Viwanda Kwa Mwaka 2015.i.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>MH. EDWARD LOWASSA LEO KAINGIA MLIMANI CITY, NA KUFUNGA SHUGULI KWA MUDA, BAADA YA WATU KUANZA KUMKIMBILIA ANGALAU WAMUONE..Fahamu zaidi hapa. Mh. Edward Lowassa,Baada ya kumalizika kwa Mahafali ametembelea Mlimani City Moja ya Miradi iliyoanzishwa chini usimamizi wake. So amazing asiee, kumbe CHADEMA ndio kimbilio la watu na tumaini la kweli katika mioyo yao. H… Read More
#YALIYOJIRI>>>Mke Wa Rais Mama Janeth Magufuli Akabidhi Vyakula Vya Futari Kwa Vituo Vinne Vya Kulea Watoto Yatima Jijini Dar Es Salaam.Fahamu zaidi hapa. MKE wa Rais Mama Janeth Magufuli amekabidhi chakula kwa ajili ya futari wakati huu wa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa vituo vinne vya kulea watoto yatima na wale waishio katika mazingira magumu Jijini Dar es… Read More
#Breaking News>>>>Hali ya Karia koo mtaa wa Kongo yalindima Mabomu hii leo.Fahamu zaidi hapa. Hali ya Karia koo mtaa wa Kongo Hali ndivyo ilivyo mabomu yamachozi yakiendelea tatizo wamachinga toka majira ya saa 7 mchana. HABARI ZA HIVI PUNDE~polisi watumia mabomu ya machozi kuwatawanya wamachinga wanaopa… Read More
#Breaking News>>>Polisi wamezuia mahafali ya wanachuo WA UDOM wanachama WA CHADEMA leo.Fahamu zaidi hapa. Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma limesambaratisha wanafunzi wa vyuo vikuu wanachama wa Chadema ( Chadema Students Organization -CHASO ) waliokuwa wakishiriki hafla ya mahafali katika Ukumbi wa A… Read More
#YALIYOJIRI>>>Kauli ya TCRA katika mchakato endelevu wa kuzima simu feki.Fahamu zaidi hapa. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy amesema kuwa mtambo wa kuzima simu bandia unaendelea na kazi kuhakikisha kuwa hata simu ambazo hazikuwa hewani zitakapowashwa hazitafanya. Alisema kuw… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment