Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Charles Kitwanga kuanzia leo tarehe 20 Mei, 2016.
Rais
Magufuli ametengua uteuzi huo kufuatia kitendo cha Mheshimiwa Charles
Kitwanga kuingia bungeni na kujibu swali linaloihusu wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi akiwa amelewa.
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
20 Mei, 2016
0 comments:
Post a Comment