Muda wa mchana basi la mwendo kasi limepata ajali katika junction ya Sheikh
Yahya Magomeni baada ya gari binafsi kupiga u-turn sehemu isiyoruhusiwa.
Chini ni picha za tukio hilo
Friday, 20 May 2016
Home »
Habari Moto
» Picha za basi jingine la mwendo kasi lililopata ajali muda huu.
Picha za basi jingine la mwendo kasi lililopata ajali muda huu.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>TCRA Yavipiga Faini ITV, Clouds Tv na Clouds Fm Radio Kwa Kukiuka Maadili ya Utangazaji.Fahamu zaidi hapa. MAMLAKA ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevipa onyo na kuvipiga faini vituo viwili vya televisheni na kimoja cha redio kwa kukiuka maadili ya utangazaji. Vituo hivyo ni ITV, Clouds Tv na Clouds Fm Radi… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Tundu Lissu: Barua ya Sekretarieti ya Maadili ni njama ya kutengeneza mazingira ya kisheria kunivua Ubunge.Fahamu zaidi hapa. TUMECHOKA kuvumilia! Ni kauli ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kudai kusakamwa na Serikali . Chama hicho kimetoa kauli hiyo leo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, b… Read More
#YALIYOJIRI>>>Matabibu Mbadala waomba kibali kuishtaki Serikali kuwafutia usajili.Fahamu zaidi hapa. MATABIBU wanne wa Tiba Asilia na Mbadala akiwemo mmiliki wa Kliniki ya Sure Herbal, Simon Rusigwa wamewasilisha maombi ya kuomba ruhusa ya kufungua kesi ya kupinga uamuzi wa kufutiwa leseni za kutoa huduma za kitabibu. … Read More
#YALIYOJIRI>>>Freeman Mbowe na Tundu Lissu Waitwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi.Fahamu zaidi hapa. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu wameandikiwa barua na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, wakitakiwa kujieleza kwa matamko yao waliyoyatoa katika siku za hivi ka… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Serikali Yatoa Siku 14 kutatua changamoto za watumishi Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI).Fahamu zaidi hapa. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa siku 14 kwa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Mifupa (MOI) kuangalia matatizo yaliyopo na kuyafanyia tathmini, huku akisisitiza kambi za upasuaji zirejee na zianze kazi mara moja ifika… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment