Muda wa mchana basi la mwendo kasi limepata ajali katika junction ya Sheikh
Yahya Magomeni baada ya gari binafsi kupiga u-turn sehemu isiyoruhusiwa.
Chini ni picha za tukio hilo
Friday, 20 May 2016
Home »
Habari Moto
» Picha za basi jingine la mwendo kasi lililopata ajali muda huu.
Picha za basi jingine la mwendo kasi lililopata ajali muda huu.
Related Posts:
Idris Sultan adai Meneja wake amemfilisi pesa zake.Fahamu zaidi hapa. Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014, Hotshots Idris Sultan, amevunja ukimya na kuzungumzia tetesi ambazo zilikuwa zinazagaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba kuna mtu alimpatia pesa zake kwa ajili ya biashara … Read More
#YALIYOJIRI>>>>MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI 2016 YAFANYIKA KITAIFA JIJINI MWANZA.Fahamu zaidi hapa. Bi.Valerie Msoka kutoka Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), akiongoza kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari kwa mwaka 2016 yanayofanyika kitaifa katika hoteli ya ufukweni ya… Read More
Riyama Ally Amefungukia Maumivu Aliyoyapata Alipopoteza Mtoto.Fahamu zaidi hapa. Akizungumza na gazeti la mwanaspoti, Riyama anafichua kuwa mwaka 2000 aliwahi kupata mtoto akafariki, baada ya hapo alikuwa anatamani kubakia mpweke siku zote kwa sababu ya simanzi aliyopata. “Maumivu niliyosikia kwa kum… Read More
TAARIFA KUTOKA MAKAO MAKUU YA JKT. … Read More
#YALIYOJIRI>>>>BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR (ZFDB) YAHARIBU TANI 42.2 ZA BIDHAA ZISIZOFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU.Fahamu zaidi hapa. Wafanyakazi wa ZFDB wakipakia shehena ya bidhaa zilizoharibika tayari kwenda kuangamizwa katika Dampo la Kibele Mkoa Kusini Unguja. Bidhaa mbali mbali zilizoharibika zikiteremshwa kutoka kwenye gari na waf… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment